• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANACHAMA zaidi ya 14,000 Mbinga kugawiwa kadi za CHF

Imewekwa kuanzia tarehe: May 12th, 2021

Halimashauri ya mji wa mbinga mkoani Ruvuma, ni miongoni mwa alimashauri ambazo zinatekeleza na kusimamia mfuko wa afya  ya jamii CHF ambapo mpaka sasa mfuko huo tayari umesajili takribani  zaidi ya wanachama  14,658  wakiwemo wanufaika wa  taasisi mbalimbli kama TASAF,PAD, na Shule za msingi na Sekondari pamoja na Vyuo.

Ndgu; Joseph P. Mapunda ndio mratibu  wa utekelezaji wa mfuko huo, anaeleza mwenendo wa utekelezaji  wa mfuko huo katika almashauri hiyo.``Tarehe 16/04/2018 tulipokea  walaka wa maboresho ya mfuko wa afya  ya jamii ikiwa na lengo la kuleta tija na ufanisi katika uratibu  wa utoaji huduma  ya mfuko wa afya ya jamii kufikia lengo la kitaifa, la kuakikisha  kwamba kila kaya iliopo katika jamii inajiunga nakuwa  mwanachama hai wa CHF iliyoboreshwa.”

Zaidi ameongeza, Halmashauri ya mji wa mbinga kupitia vikao rasmi kama CMT, CHMT, vikao vya kamati na Baraza  la madiwani ,WDC na VDC lakini pia kupitia mikutano mbalimbali ya vijiji na mitaa, CHF limekuwa ni agenda ya  kudumu  kupitia vikao hivyo vyote.

Uboreshwaji huo umefanywa  kwanamna yakipekee  ambapo awali  mwanachana alikuwa anapata matibabu  kwa gharamaya shilingi 10,000.Gharama hizo zilikuwa hazihusishi kulazwa kwa mgonjwa na shilling 20,000 nimalipo  yasiona masharti ya kulazwa ispokua utatibiwa katka kituo husika cha afya. Kwa sasa utaratibu umeboreshwa, na  kwa kiasi cha shilingi 30,000 unapata matibabu  katika hospitali na kituo chochote cha afya katika mkoa wa Ruvuma.

Mwanachama wa bima  ya CHF anatakiwa kua na wategemezi wasiozidi 5, hii inafaya jumla ya wanufaika kuwa watu sita kama ni kikundi au taasisi inayo jiunga na mfuko huo, kama ni familia ambayo ukamilisha kaya moja, Baba, Mama na watoto wanne .

Halmashauri ya mji wa mbinga ina kata kumi na tisa(19) Vijiji 49 na mitaa 29 na utekelezaji wa shughuli hii unafanyika katika maeneo yote . Vilevile halmashauri ya mji wa mbinga imefanikiwa  kusajili kaya 2448 kati ya kaya 33,256 ikiwa nisawa na asilimia 8.7 ya kaya zote. Pia imefanikiwa, kuwajengea uwezo maafisa uandikishaji 156 katika vijiji na mitaa 78 pamoja na waganga wa vituo23.

Halmashauri ya mbinga mji kupitia mratibu  wa TASAF  imeweza kusajili kaya 1689 na kuendelea kushirikiana nae katika kuhamsisha  jamii hususani kaya masikin kuweza kujiunga katika mfuko huo ili kuweza kuzisaidia kaya hizo kupata huduma ya afya kwa gharama nafuu. Pia tasisi kama PAD kupitia mratibu wao wameweza kusajili kaya 690  usajili bado unaendelea.

CHF Katika halmashauri ya mji wa  mbinga pia imejipambanua kuzifikia baadhi ya taasisi za elimu zikiwemo  shule za sekondari kama , Makita Sekondari,Agustivo high School, na Chuo cha Maendeleo Mbinga . Atahivyo Mratibu   wa CHF Joseph Mapunda Ametoa rai kwa tendaji  wa kata ,vijiji na mitaa  kuendelea kuwahamasisha wananchi kujiunga katika bima hiyo ya afya ya gharama nafuu, kwani ni mkombozi kwa familia na jamii  na  kusema  zoezi linaendelea watu wajitokeze kwa wingi .  

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.