• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANAFUNZI wote waliochaguliwa Darasa la saba Songea kuanza kidato cha kwanza Januari 2021

Imewekwa kuanzia tarehe: December 30th, 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Simoni Bulenganija amesema watoto wote 2082 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2021 wataanza masomo Januari 2021.

Bulenganija ametoa taarifa hiyo wakati wa mahojiano maalum yaliyofanyika ofisini kwake Lundusi mji Mdogo wa Peramiho.

“Miundombinu ya vyumba vya madarasa,madawati na vyoo vinatosheleza kwa wanafunzi wote waliochaguliwa,” amesema Bulenganija

Ametoa rai kwa wazazi na walezi kuhakikisha mara baada ya shule kufunguliwa watoto wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza  wanaripoti  katika shuleni walizopangiwa kadiri ya maelekezo ya serikali.

Bulenganija amesema miundo mbinu ya kufundishia na kujifunzia inakidhi mahitaji ,hivyo watoto wote waliochaguliwa wataanza kidato cha kwanza pasipo shaka yoyote na kwamba wazazi na walezi  wafanye maandalizi ya kuwawezesha watoto kuripoti shuleni na kuanza masomo.

Hata hivyo amesema serikali inaendelea na ujenzi wa miundo mbinu ya mabweni  na vyumba vya madarasa katika shule za Sekondari ya Maposeni,Mpitimbi,Namihoro,Matimira Mbinga mhalule na kilagano na kwamba kukamilika kwa ujenzi wa miundo mbinu hiyo kutaongeza ziada ya miundo mbinu katika Halmashauri hiyo.

Kwa upande wake  Afisa Elimu wa sekondari Bumi Kasege amesema katika kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia na kwamba Idara yake imepanga mikakati ya kusimamia na kufanya ufuatiliaji wa elimu mashuleni na kwa kushirikiana na wadau wa elimu.

Kasege amesema kati ya wanafunzi waliochaguliwa wavulana ni 1013,wasichana ni 1069.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.