• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANANCHI Mbinga wahimizwa kutumia nishati safi kuokoa miti

Imewekwa kuanzia tarehe: July 15th, 2024

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga wametakiwa kutumia fursa zitokanazo na uwepo wa nishati ya makaa ya mawe ili kujinusuru na changamoto za kiafya na za uhifadhi mazingira

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Kisare Makori wakati wa hafla ya ugawaji wa tani 10 za nishati mbadala itokanayo na makaa ya kwa shule za msingi 15 pamoja na sekondari 15 kwa ajili ya kupikia

Makiro ameipongeza Halmashauri hiyo kwa uamuzi wa kutumia nishati safi kwani takwimu zinaonyesha zaidi ya hekta mia tisa za miti sawa na miti milioni moja na elfu thelathini ukatwa kila mwaka  kwa matumizi ya kupikia.

Amesema Serikali inaunga mkono sera mbalimbali za kimataifa kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia na uhifadhi mazingira ili kupunguza matumizi ya nishati chafu na isiyo salama katika Nyanja za kijamii, kiuchumi, kiafya na kimazingira

“Niwapongeze kikundi cha Wanawake Mbalawala ambao ni wanufaika wa mkopo wa 10% kwa ubunifu na kutumia fursa zilizopo katika kuunga mkono juhudi za serikali katika matumizi ya nishati mbadala ambayo ni chachu katika kuhifadhi mazingira”amisema DC Makiro

Pia amesema ili biashara ya kukata kuni na matumizi ya mkaa yafike kikomo ni lazima wananchi wabadilike kwa kuacha kukata miti hivyo pia amewataka viongozi wa taasisi na wadau kuendelea na juhudi za  upandaji miti na kupinga shughuli za kilimo kwenye vyanzo vya maji

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbinga Joseph Rwiza amesema kuwa wamejipanga kuhakikisha wanatoa elimu ya kutosha katika kata zote kupitia viongozi ili wateo elimu ya nishati safi kwa wananchi ikiwemo na sehemu zinazo hudumia watu wengi kama vile mashuleni lengo

“Nimejipanga katika Halmashauri yetu kuhakikisha shule zetu zote za msingi na sekondari tunalisimamia ndani ya muda mfupi kuanza kutumia nishati mbadala ya makaa ya mawe ili kuhakikisha zoezi linakuwa endelevu na kuunga mkono wazalishaji wetu wa nishati safi” amesema Rwiza

Akizungumza kwa niaba ya walimu wakuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Mndeme mwalimu Denterias Mgaya amesema mkaa huu utapunguza gharama lakini pia ni chachu katika kutunza mazingira.

Watengenezaji na wauzaji wa mkaa huo ni kikundi cha wanawake Mbalawala kilichopo kata ya Ruanda kikundi ambacho ni wanufaika wa mkopo wa 10% unaotolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.



Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.