• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANANCHI Namtumbo waishukuru serikali kwa huduma za matibabu ya kibingwa

Imewekwa kuanzia tarehe: July 30th, 2024

Wananchi wa Kijiji cha Mtakanini kilichopo katika Kata ya Msindo Wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma wameishukuru Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kuona umuhimu wa kusogeza huduma ya Madaktari bingwa kwa watu wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo, saratani ya kizazi na tezi dume kwenye vituo vya Alafya Wilayani humo.

Shukrani hizo zimetolewa na wananchi wa kijiji cha Mtakanini wakiongozwa na Diwani wa Kata ya Msindo Mheshimiwa Remna Nchimbi wakati wanampokea Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Jakaya Mrisho Kikwete Profesa Mohamedi Janabi ambaye alifika kwenye kituo cha Afya Mtakanini kuungana na Madaktari Bingwa  watatu waliokuwa wakiendelea Kutoa huduma kwa wagonjwa kwa magojnwa ya Moyo,Kisukari,Tezi dume na kansa ya shingo ya kizazi kwa akina mama.

Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Mheshimiwa Vita Kawawa amemshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Hospital ya Taifa ya Muhimbili Dkt. Mohamed Janabi mara baada ya kuwasili katika kituo cha Afya cha Mtakanini kilichopo kata ya Msindo Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma.

Amesema kitendo cha Serikali kuwaleta madaktari bingwa toka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete kimeleta matumaini makubwa kwa wananchi ambao wamekuwa wakisumbuliwa na magonjwa ambayo yanahitaji kuonana na madaktari bingwa kwa lengo la kupata tiba ambao wako mbali na maeneo ya vijiji.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Profesa Mohamedi Janabi amesema kuwa nia ya serikali ni kuhakikisha kuwa wananchi wanapata hudua nzuri ya afya kuanzia kwenye zahanati,vituo vya afya ,hospitali za Wilaya na Hospitali za Rufaa ikiwemo hospitali ya Taifa Muhimbili .

Profesa Janabi ambaye ni daktari bingwa wa magonjwa ya moyo amesisitiza kuwa kila mtu anapaswa kutunza afya yake kwa kula vyakula ambavyo si hatarishi kwa afya jambo ambalo limekuwa likipigiwa kelele ili wananchi waweze kuacha kula vyakula bila kufuata utaratibu.

Ameshauri kuacha kula vyakula vyenye sukari nyingi kwani sukari haija wahi kumuacha mtu salama hivyo ni vyema kuona umuhimu wa kuepuka kula vyakula vyenye sukali nyingi.

Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Vita Kawawa amefurahishwa na kazi nzuri zilizofanywa na Madaktari Bingwa ambao walianza kazi hiyo ya kuwahudumia wangonjwa wa magonjwa ya Moyo,Kisukali,kansa ya shingo ya kizazi kwa wanawake na tezi dume katika Hospitali ya Serikali ya Wilaya ya Namtumbo na baadae walikwenda Kutoa huduma hiyo kwenye kituo cha Afya Lusewa pia walitoa huduma kwenye vituo vya Afya Mputa na Mtakanini.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.