• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANANCHI Ruvuma waaswa kujitokeza kwenye zoezi la uandikishaji wapiga kura

Imewekwa kuanzia tarehe: October 10th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed amewaasa wadau na wananchi   kujitokeza kwenye zoezi la uandikishaji wapiga kura ambalo linafanyika kwa siku kumi kuanza Oktoba 11 hadi 20 mwaka huu.

Kanali Abbas Ametoa rai hiyo wakati anafungua kikao cha wadau wa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024  kilichofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea .

“Sina shaka kila mmoja wetu anajua kuwa mafanikio ya uchaguzi huu yanategemea sana ni kwa kiwango gani wananchi wetu watakuwa wamejiandikisha,matarajio yangu ni kuwa Halmashauri ya Manispaa ya Songea mtahamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha ili wananchi wote wajiandikishe’’,alisisitiza.

Amewaasa wadau wa uchaguzi kuhakikisha eneo hilo linafanikiwa  hali ambayo itawezesha maeneo mengine ya kampeni na siku ya kupiga kura kupata mafanikio mazuri.

Katika kikao hicho wadau muhimu wakiwemo maafisa watendaji wa mitaa na kata kutoka Manispaa ya Songea wameshiriki,ambapo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amewaasa watendaji hao kuhakikisha wanakuwa waadilifu katika kazi hiyo na kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni na miongozo ya uchaguzi.

Kanali Abbas amewatahadharisha watendaji hao kujiepusha na tabia zinazoweza kusababisha kuwa wazembe ili kazi hiyo iweze kufanyika kikamilifu kama ilivyotarajiwa.

Awali akizungumza kwenye kikao hicho,Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Furaha Mwangakala  amesema katika Halmashauri hiyo mitaa 123 itashiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa ili kuwapata viongozi katika ngazi hiyo.

Amesema Halmashauri inaendelea na maandalizi kabla ya uchaguzi ambapo hadi sasa elimu na uhamasishaji unaendelea kufanyika kupitia vyombo vya Habari,mabango,matangazo barabarani (PA) na mikutano ya hadhara.

Kaulimbiu ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka huu inasema serikali za mitaa sauti ya wananchi jitokeze kushiriki uchaguzi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.