• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANANCHI wa Mpepo-Darpori wajengewa barabara ya kiwango cha changarawe

Imewekwa kuanzia tarehe: October 29th, 2023

Wananchi wa Kata ya Mpepo Wilayani nyasa mkoani Ruvuma wameipongeza Serikali Kwa kutatua changamoto ya barabara ya Luhindo- Mpepo hadi Darpori ambayo imetengezwa Kwa kiwango Cha changarawe  hivyo kupitika  muda wote.

Wananchi hao wameyasema katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Mpepo na kuongozwa na  MKuu wa Wilaya ya Nyasa Mheshimiwa Filberto Sanga.

Wananchi wamesema barabara ya awali  ilikuwa haipitiki na walikuwa wakitumia gharama kubwa za usafiri ambapo hivi sasa  mabasi ya abiria yanafika kijijini hapa kwa gharama nafuu.

Wamempongeza Rais Dkt  Suluhu Hassan Kwa kutatua kero ya barabara na umeme kero ambazo  zimewawasumbua wananchi kwa muda mrefu.

Akitoa taarifa ya mradi huo Meneja wa TARURA wilaya ya Nyasa Mhandisi Thomas Kitusi amesema Ujenzi wa barabara ya Luhindo-Mpepo- Darpori Kwa kiwango Cha changarawe imetekeleza Kwa kutumia fedha ya Mfuko Maalum kiasi cha shilingi milioni 750 zilitengwa.

Amelitaja  lengo la mradi huo ni  kuboresha mawasiliano na huduma Kwa wananchi na kuunganisha  wilaya ya Nyasa na nchi jirani Msumbiji.

Akizungumza kwenye mkutano huyo Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Filberto Sanga amewapongeza TARURA kwa kutekeleza mradi huo hivyo kumaliza kero ya ubovu wa barabara.

Amewaasa wananchi kuitumia barabara hiyo kujiletea maendeleo yao ili kukuza uchumi  wao.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.