• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANANCHI wasichoke kulima mazao ya biashara

Imewekwa kuanzia tarehe: September 2nd, 2022


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Menace Komba,  amewataka madiwani wa halmashauri hiyo kuwahamasisha wananchi kulima mazao ya biashara.

Hayo ameyasema kwenye kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa halmashauri hiyo, walipokuwa wakipitia taarifa mbalimbali za miradi ya halmashauri hiyo.

Alisema serikali ipo kwa ajili ya kumilinda mkulima, pia imeweka mfumo mzuri wa kuyauza mazao hayo hivyo madiwani wezangu tuzidi kuwahimiza wananchi katika kilimo cha biashara kwani kinatija vile vile soko bado linahitaji mazao hayo.

“Kuna vikwazo wakulima wetu wanakutana navyo asa kwenye kipindi cha kuuza mazao yao, halmashauri yetu haijawai kukutana na changamoto yoyote kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani ila changamoto ni watanzania wezetu ambao wana warudisha nyuma wakulima ila tunawashugulikia ili kuwalinda wakulima” alisema Komba.

Naye Mkuu wa Wilaya Songea, Mhe. Pololet Mgema amewasisitiza wakulima watumie mfumo wa stakabadhi ghalani kwenye kuuza mazao yao, kwani itawasaidia kuondokana wafanyabiashara wasio watakia mema.

“Mazao haya ambayo ni ya biashara kwa kiwango kidogo sisi tunayatumia na kwa kiasi kikubwa yanauzwa njee ya nchi, sasa tukiruhusu mazoa kama hayo yauzwe kiholela tutegemee mkulima atakuwa masikini na mwananchi akiona zao alimnufaishi anaacha kulima” alisema Mgema.

Wakulima wa halmashauri hiyo wanajihusisha na kulima mazoa wa biashara yakiwemo zao la Soya na Zao la ufuta.

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.