• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANAOHUJUMU miradi ya maji Songea wakamatwe

Imewekwa kuanzia tarehe: September 7th, 2022

MKUU wa wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Pololet Mgema amewataka wananchi wilayani humo kuwafichua wahujumu wanaorudisha nyuma juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan za kumtua mama ndoo kichwani wanaoiba miundombinu ya maji.

 Mgema alitoa  rai hiyo hivi karibuni wakati alipokuwa akifungua kongamano la michezo lijulikanalo Maji Cup lenye lengo la kuhamasisha wananchi juu ya utunzaji wa vyanzo  na kulinda upotevu wa maji lililofanyika kwenye uwanja wa michezo wa Majimaji mjini humo.

Mgema alisema kuwa  kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiiba na kuharibu miundombinu hiyo hususan mabomba ambayo imetengenezwa  kwa kutumia fedha nyingi za serikali na wahisani na kusababisha akina mama wengi kutembea umbali mrefu kufuata huduma hiyo.

Aidha amewataka wananchi hao kuacha tabia ya kuendesha shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya maji kwa madai kwamba wanasababisha ukame na kupelekea vyanzo vya uzalishaji wa nishati ya umeme kukosa huduma hiyo.

Alifafanua kuwa huduma ya maji ni muhimu kwa shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo kuendesha mitambo ya ufuaji wa nishati ya umeme pamoja na kusaidia maisha ya Bianadamu,viumbe hai na kilimo.

Naye Diwani wa kata ya Mjini iliyopo katika Halmashauri ya manispaa ya songea mkoani humo Mathew Ngalimanayo akizungumza kwenye kongamano hilo amewataka wananchi hao kuenzi mchango wa wazee wetu wa zamani katika suala la utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji na kuwahasa waachane na mambo ya utanda wazi ambayo yamechangia kwa kiasi kikubwa uharibifu huo wa mazingira na kupelekea uwepo wa mabadiliko ya hali ya hewa(TABIANCHI)

Kwa upande wake Afisa mahusiano wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira manispaa ya Songea(SOUWASA)Paulo Mandia alisema kuwa kongamano hilo la siku mbili limeandaliwa  na ATAWASI na kushirikisha timu ya Mandera Veterani,Mji Concine,SOUWASA na Mwanawasa kwa lengo la kuhamasisha wananchi juu ya utunzaji wa vyanzo na kuzuia upotevu wa maji.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.