• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANAWAKE Namtumbo wapigwa jeki milioni 287

Imewekwa kuanzia tarehe: March 7th, 2024

Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake (WEF)  umetoa  mkopo zaidi ya shilingi milioni 287 tangu mwaka 2015 hadi 2024 Kwa wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma.

Hayo yamesemwa na , Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mheshimiwa Ngollo Malenya wakati anazungumza  kwenye maadhimisho ya Siku ya mwanamke Duniani kiwilaya kwenye ukumbi wa  shule ya Sekondari Nasuli.

Malenya amelitaja kundi la wanawake kuwa ni nguvu kazi kubwa kulingana na wingi wao.

 Hata hivyo amesema wanawake wamekuwa wakinyanyashwa, kukandamizwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili.

"Nawaasa wanangu wa jinsia ya kike endeleeni kuchukuwa tahadhari hakikisheni wale wanaume wanaowamendea wasiwapate, tunataka nyinyi muwe sehemu ya ushuhuda wa awamu ya Sita kwa maendeleo ya mwanamke ". amesema Malenya.

Ametahadharisha kuwa wilaya ya Namtumbo imeathiriwa Kwa janga la UKIMWI ambapo takwimu zinaonesha kuwa wanawake walioathirika idadi yao ni kubwa kuliko wanaume.

Ametoa rai kwa Taasisi  za kifedha  kuendelea kuboresha huduma rafiki katika kuwafikia wanawake wengi na kuwapa mikopo yenye riba nafuu 


Naye Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Namtumbo Peresi Kamugisha amesema Serikali imewekeza katika afya Ili kuhakikisha vifo vya mama na mtoto vinapungua na kwamba serikali imeimarisha miundo mbinu ya shule maalumu za watoto wa kike katika wilaya ya Namtumbo.

Kwa upande wake Afisa USTAWI  wa Jamii wilaya ya Namtumbo Frida kayombo amesema ukatili wa kijinsi ni matumizi mabaya ya nguvu  na huleta madhara kimwili, kiakili.

Naye Mhamasishaji wa Damu Salama Wilaya ya Namtumbo Godfrey Mwaulesi  amewaomba wakinamama  kuchangia damu kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wanaosumbuliwa na tatizo la damu kama wakinamama wanaojifungua na kupoteza damu nyingi na watu wanaopata ajali.

  •  

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.