• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANAWAKE Songea washauriwa kulea familia kwa misingi ya maadili

Imewekwa kuanzia tarehe: July 10th, 2021

WANAWAKE wakatoliki Tanzania (WAWATA)kutoka majimbo ya kanda ya kusini wameshauriwa kutimiza wajibu wao wa kulea familia zao katika misingi ya maadili ili taifa liweze kupata viongozi bora.

Ushauri huo umetolewa na Naibu Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Songea Padre Erick Mapunda wakati akihubiri kwenye Ibada ya misa takatifu ya kongamano la wanawake wakatoliki iliyofanyika katika kanisa la Mtakatifu Mathias Kalemba mjini Songea.

Padre Mapunda amewataka wanawake hao kujitambua kuwa wao ndio nguzo na tanuli la kuwalea vijana katika misingi ya maadili kwa lengo la kukabiliana na mmomonyoko wa maadili.

Naye Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Wakatoliki Kanda ya kusini Sabina Nkuba amesema kuwa katika kipindi cha siku tatu cha kongamano hilo wanawake hao wamejifunza mada mbalimbali ikiwemo juu ya kujua familia na malezi ya ndoa,wajibu wa mwanamke katika familia,kanisa na jamii.

Nkuba amezitaja mada nyingine kuwa ni wajibu wa mwanamke mkatoliki katika kujua afya ya uzazi na magonjwa ya saratani kwa akina mama,wajibu wa mwanamke katika maisha ya ndo na jinsi ya kulea utoto mtakatifu.

Katika kukabiliana na changamoto hiyo ya mmomonyoko wa maadili umoja huo wa wanawake wakatoliki umeamua kuunda umoja wa vijana na wasichana kwa lengo la kupata ndoa zilizo bora pamoja na kizazi chenye maadili.

Kwa upande wake mmoja wa washiriki wa kongamano hilo Vestina Nguruse alisema kuwa katika kipindi chote walichokuwepo kwenye kongamano hilo wameweza kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo juu ya masuala ya ujasiriamali.

Kongamano hilo limehudhuriwa na wanawake kutoka majimbo ya Mbinga,Songea,Tunduru Masasi,Njombe,Mtwara na Lindi.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Julai 10,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.