• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WANAWAKE watakiwa kuripoti vitendo vya ukatili

Imewekwa kuanzia tarehe: March 4th, 2025

Mbunge  wa Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma, Mheshimiwa Jacqueline Msongozi, amewasihi wanawake kuchukua hatua pindi wanapokutana na vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii.

Amesema hayo wakati akisoma hotuba kwenye kongamano la wanawake Mkoa wa Ruvuma lililofanyika katika ukumbi wa Kanisa Katoliki Bombambili mjini Songea ikiwa ni maandalizi kuelekea siku ya wanawake duniani itakayofanyika Machi 8.

“Wanawake wanakumbana na changamoto mbalimbali ikiwemo ukatili wa kijinsia, nachukua nafasi hii kuwaasa wanawake kuchukua hatua mara tu tunapokutana na changamoto hii na nyingine,” alisema Msongozi.

Amewataka wakina mama wote kuwapenda na kuwa na lugha nzuri kwa watoto wao ili kuwasaidia kisaikolojia, wawe na amani na waweze kushiriki vizuri katika masomo.

Mhe. Msongozi ametaja malengo ya maadhimisho ya siku ya wanawake kwa mwaka 2025, ambapo amesema ni kuhamasisha jamii kukuza usawa, haki na uwezeshaji wa wanawake, wasichana na wanaume kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Naye Xsaveria Mlimira, akizungumza kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma, amesema wamejipanga kufanya shughuli mbalimbali kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, ikiwemo kuwaona wahitaji, watoto wenye usonji waliopo Manispaa ya Songea na wakoma katika Kijiji cha Morogoro, Kata ya Litisha.

Kwa upande wake, mtoa mada ya ujasiriamali na uchumi, Dkt. Denis Mpagaze, amewashauri wanawake kufanya kazi kwa bidii ili kujipatia kipato huku akisisitiza umuhimu wa kuwa na vyanzo vya mapato vitakavyowasaidia kuendesha maisha yao bila kumtegemea yeyote.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.