• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WARATIBU wa Kanda nane za kudhibiti magonjwa wapewa mafunzo Namtumbo

Imewekwa kuanzia tarehe: August 5th, 2023

WARATIBU wa Kanda 8 za mpango wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele wamepatiwa mafunzo ya siku moja katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo.

Mratibu wa mafunzo ya magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele katika Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo John Mwakisulu aliwaambia waratibu wa Kanda kutumia mafunzo hayo kwenda kuelimisha jamii kupitia mikutano ya hadhara Ili zoezi la unjweshaji dawa lisiwe gumu Kwa jamii.

Mwakisulu amesema uelimishaji  wananchi kuhusu magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele ni Jambo muhimu Ili waweze kujua umuhimu wa kupata Tiba .

Mwakisulu aliwataja waratibu wa Kanda kuwa ni Nurdin Galasi Kanda ya Mputa, Peter Ndunguru Kanda ya Lusewa, George Kinyaga Kanda ya Msindo, Ditto Zabron Kanda ya Litola, Victoria Lugongo Kanda ya mkongo,Josephina Magingo Kanda ya Likuyuseka ,Joseph Hokororo Kanda ya Namtumbo pamoja na Abel Godson Kanda ya Ligera.

Shaibu Majiwa mratibu wa afya idara ya elimu aliwataka waratibu wa Kanda kutopika taarifa na badala yake watoe taarifa sahihi Ili kujua halihalisi ya wilaya ya Namtumbo katika magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele.

"Upikaji wa taarifa katika zoezi hili halitatupa halihalisi ya tathmini ya magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele katika wilaya ya Namtumbo alisema Majiwa.

Rajabu Chiukuta Kaimu mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Mkoa wa Ruvuma aliwataka waratibu wa kanda kutumia mafunzo hayo kwenda kuwaelimisha wananchi Ili wauelewe mpango na kurahisisha zoezi la kuwapatia dawa.

Peter Ndunguru mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Kanda ya Lusewa alisema nguvu nyingi katika kutekeleza mpango huu zielekezwe kwenye kuelimisha jamii ielewe na kudai kuwa jamii ikishs elewa zoezi la mpango huu litakuwa rahisi.

Waratibu wa Kanda 8 pamoja na kupatiwa mafunzo hayo wamepatiwa vifaa Tiba na dawa Kwa ajili ya kwenda kutekeleza mpango katika jamii wilayani Namtumbo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.