• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WATAALAM wa ujenzi Mkoa wa Ruvuma waanza kikao kazi Mbambabay

Imewekwa kuanzia tarehe: March 20th, 2025

Albano Midelo na Netho Sichali,Mbambabay

Wataalamu wa ujenzi kutoka Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma wameanza kikao kazi  cha kuwajengea uwezo  kuhusu usimamizi na ufuatiliaji katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha miradi yote  mwaka 2024/2025  inakamilika kabla ya Mei 30 mwaka huu.

Kikao kazi hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa St.Vinsenti mjini Mbambabay wilayani Nyasa ambapo mgeni rasmi alikuwa ni  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aliyewakilishwa na Mheshimiwa Peres Magiri ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Nyasa.

Akizungumza kabla ya kufungua kikao kazi hicho Mheshmiwa Magiri amewataka watalaamu  hao wa ujenzi kuacha kukaa ofisini badala yake waende kusimamia miradi katika kila hatua ya utekelezaji ili iweze kukamilika kikamlifu na kwa wakati.

‘’Unakuta mradi unajengwa mtaalam wa ujenzi hajawahi Kwenda kukagua,wananchi wanaendelea na ujenzi ,hivyo mradi kupoteza ubora unaotakiwa,nawaomba baada ya kikao kazi hiki mbadilike’’,alisisitiza.

Amesema baada ya kukamilika kwa kikao kazi hicho anaamini kwamba miongoni mwa malengo yaliyokwekwa likiwemo la kumaliza  ujenzi wa miradi ifikapo Mei 30 mwaka huu litafikiwa kwa kuhakikisha miradi  yote wanayosimamia  iwe imekamilika kulingana na maelekezo.

Awali akitoa taarifa kwenye kikao kazi hicho Katibu Tawala Msaidizi Miundombinu Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Girbert Simiya amekitaja kikao kazi hicho kinawahusisha watalaam wa ujenzi,wabunifu majengo na wakadiriaji majengo wa Mkoa wa Ruvuma  waliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na katika Halmashauri zote  nane.

Simiya amesema hadi sasa Mkoa wa Ruvuma una watalaamu 64 wa ujenzi kati yao wahandisi 20,wabunifu majengo watano,wakadiriaji majengo 11 na mafundi sanifu 28.

Ameitaja miradi inayoendelea kutekelezwa katika Mkoa wa Ruvuma kuwa ni Pamoja miradi ya barabara yenye thamani ya shilingi bilioni 70 na mradi wa  ujenzi wa bandari ya Mbambabay wenye thamani ya shilingi bilioni 80.

Miradi mingine ameitaja kuwa ni miradi ya miundombinu ya elimu kupitia program ya BOOST yenye thamani ya shilingi bilioni 3.5 na program ya SEQUIP yenye thamani ya shilingi bilioni 14.6 na miradi ya program ya SWASH yenye thamani ya Zaidi ya shilingi bilioni moja.

Katika kikao kazi hicho mada mbalimbali zitafundishwa zikiwemo utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri zote na usimamizi na ufuatiliaji wa miradi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.