• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WATUMISHI ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma wamuaga mwenzao

Imewekwa kuanzia tarehe: March 31st, 2022

MKUU wa Wilaya ya Songea Pololeti Mgema amemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge kuongoza kutoa heshima za mwisho katika Kifo cha Mtumishi Lusian Vedastus Mwangwa.

Mgema akitoa salamu  kabla ya kutoa heshima za mwisho kwa watumishi katika ukumbi wa Songea Clabu amewaasa kujiandaa na kumuishi Mungu kwasababu siku za kuishi Duniani ni chache kwa kila binadamu.

 “Binadamu wote ni wasafiri lakini mwisho upo japo hatujui  siku na kupitia kifo cha mtumishi mwenzetu  kinatukumbusha kujiweka tayari ili mwisho wa kila mmoja a  uwe mwema pale umauti itakapo mfika”.

Kwa upande wake Katibu Tawala Msaidizi Rasilimali Watu na Utawala Bakari Mketo akisoma taarifa fupi ya Marehemu huyo amesema alizaliwa Agosti 19,1969 katika Mkoa wa Mwanza na kupata Elimu ya Sekondari Azania mwaka 1987 Mkoa wa Dare es Salaamu.

Mketo amesema mwaka 1991 Juni hadi 1992 alipata mafunzo ya jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kambi ya Msange iliyopo Mkoani Tabora,mwaka 1997 marehemu alimaliza Advance Diploma ya Uhasibu  Chuo kikuu cha Mzumbe  na mwaka 2019 alimaliza masomo ya Shahada ya Uzamili katika uendeshaji Biashara za Kimataifa kutoka Chuo cha Biashara (CBE) Dare es salaam.

Amesema Mwangwa alibahatika kufanya kazi katika ofisi mbalimbali ikiwemo kazi ya Ualimu katika shule Sekondari ya Mwandiga iliyopo Mkoani Kigoma mwaka 1992-1997 ,mwaka 1997-2006 alifanya kazi kwa ngazi ya Mhasibu msaidizi  ofisi ya TRA Dare es salaam, mwaka 2006-2008 alifanya kazi Wizara ya Fedha Hazina Dare es salaam,mwaka 2008 -2009 alifanya kazi ya msajili wa vyama vya siasa Dare esa laam na mwaka 2010-2013 alifanya kazi Wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi  Dare es salaam.

Mketo amesema Marehemu Mwangwa alihamishiwa kikazi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma na kupangiwa kutekeleza majukumu yake ya Uhasibu ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Nyasa kuanzia Januari 29,2015 ambako amefanya kazi hadi umauti ulipo mfika.

Marehemu alifariki Dunia Machi 28,2022 kwa shinikizo la Damu (Pressure) kwa mujibu  wakati akitekeleza majukumu yake katika kituo chake cha kazi Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Nyasa.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha  Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Machi 31,2022

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.