• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WATUMISHI Ruvuma waadhimisha Mei Mosi kwa kilio cha kikokotoo

Imewekwa kuanzia tarehe: May 2nd, 2024

Siku ya wafanyakazi Mkoani Ruvuma imeazimishwa katika Wilaya ya Tunduru ambapo vyama vya wafanyakazi vimepaza sauti zao kulalamikia Serikali kuhusu kikokotoo Kilichopo Kwa watumishi wa umma wakati wa kustaafu.

Akisoma Risala ya wafanyakazi Kwa Mgeni Rasmi katibu wa TUGHE Mudathiri Ismail ambaye pia ni Mratibu wa Maadhimisho hayo amesema kikokotoo hakiwahusu waajiriwa wa zamani Kwa kuwa hakikuwa katika mikataba Yao ya ajira.

Ismail katika Risala hiyo amedai wafanyakazi wanafanya tathmini ya hatima ya ajira zao wakikinyoshea kidole kikokotoo ambacho kina watesa wafanyakazi hao wanapostaafu baada ya kuitumikia serikali kwa uaminifu mkubwa .

Hata hivyo Ismail amesema kuwa mishahara ya wafanyakazi bado haikidhi mahitaji ukilinganisha na gharama halisi za maisha hivi Sasa .

Mgeni Rasmi katika Maadhimisho hayo  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed  Pamoja na mambo mengine amevishukuru vyama vya wafanyakazi Kwa kuandaa Maadhimisho hayo ya Mei Mosi na kujitokeza Kwa wingi kuhudhuria Maadhimisho hayo.

Kanali Abbas amewataka waajiri katika Mkoa wa Ruvuma kujenga mazoea ya kutoa zawadi mara kwa mara Kwa wafanyakazi ili kuongeza morali ya kufanyakazi Kwa watumishi badala ya kusubiri siku ya wafanyakazi pekee.

Mkuu wa Mkoa ameitaja migogoro ya wafanyakazi inatokana na kutozingatia misingi ya utawala Bora ,kutokuwa na ushirikishwaji, usiri usio wa lazima na uamuzi usiozingatia haki Kwa watumishi.

Hata hivyo amewapongeza wafanyakazi kupitia Risala yao kuthamini kazi kubwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt .Samia Suluhu Hassan katika ujenzi wa miradi mbalimbali Mkoani Ruvuma .

 Kanali Abbas amewahakikishia wafanyakazi kuwa Changamoto zote zilizotolewa zimepokelewa na ofisi yake na Changamoto zinazoweza kutatuliwa na ofisi yake zitafanyiwa hivyo na zingine zitapelekwa katika ngazi ya kitaifa.

Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi mwaka huu yamebeba kauli Mbiu isemayo "Nyongeza ya mishahara ni msingi wa mafao bora na kinga dhidi ya hali ngumu ya maisha.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.