• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WATUMISHI wa TFS watakiwa kufanyakazi kwa uzalendo

Imewekwa kuanzia tarehe: August 30th, 2022

WAFANYAKAZI wa wakala wa huduma za misitu Tanzania(TFS),wameaswa kufanyakazi kwa upendo,mshikamano na kutanguliza uzalendo kwa nchi yao ili kuongeza ufanisi  na huduma bora sehemu zao za kazi.

Wito huo umetolewa jana na Mhifadhi  Mkuu  Shamba la miti Wino  mkoani Ruvuma Glory Kasmir, wakati wa hafla fupi ya kumuaga aliyekuwa mtumishi wa shamba hilo Theofrida Luoga iliyofanyika katika Ukumbi wa Chamali Resort  unaomilikiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania Brigedi 401 Songea.

Alisema,watumishi wakipendana na kushirikiana wanaweza kufanya mambo makubwa katika taasisi zao na kuisaidia serikali kutatua baadhi ya changamoto bila kuhitaji msaada kutoka nje na kutoa huduma bora kwa wananchi wanaofika kwenye idara zao.

Aidha alisema,mtumishi wa umma kufanya kazi zaidi ya miaka 50 hadi kustaafu  siyo kitu kidogo na lazima  kumshukuru sana Mungu kwani muda wote anakabiliwa na kukutana na changamoto nyingi ambazo wakati mwingine zinakatisha tamaa.“hadi kufikia hatua ya kustaafu katika utumishi wa umma kwa kweli lazima kushukuru Mungu,hapa katikati kuna milima na mabonde ambayo wakati mwingine yanakatisha tamaa,lakini mtumishi hautakiwi kukata tamaa bali unatakiwa kukabiliana nayo  ili uendelea kutekeleza majukumu yako”alisema Kasmir.

Naye Mhifadhi Mkuu wa Shamba la miti Mpepo wilayani Mbinga Misana Magayane alisema,maisha ya utumishi ndiyo marefu zaidi kuliko maisha ya nyumbani au shuleni, hivyo watumishi wanatakiwa kuishi kwa furaha na amani wakati wote.

Magayane alisema, ili  mtu aishi muda mrefu katika utumishi wa umma ni muhimu kuwa amani na  upendo katika utumishi wako kwa sababu hakuna binadamu aliyekamilika.

Magayane aliongeza kuwa,hata wakiletwa malaika kutoka Mbinguni bado tutawakwaza kwa kuwa malaika ni watakatifu na sisi tumelizoea kuishi na jamii ile ile inayotuzunguka kila siku ambayo ina mapungufu na madhaifu makubwa.

Kwa upande wake Theofrida Luoga, amewaomba watumishi waliobaki kukumbuka suala la kumtanguliza Mungu wakati wote katika shughuli zao,kuondoa uwoga na kutoona kufanya kazi ngumu kama sehemu ya adhabu.

Amewataka watumishi wa ngazi za chini ,kuwaheshimu viongozi wao ili kujifunza kutoka kwao namna walivyofanikiwa hadi kufika ngazi za juu za uongozi  na kuacha tabia ya kushindana na kwani  kufanya hivyo hakuleti mafanikio  yoyote kazini.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.