• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAZAZI waaswa kuwalinda watoto katika makuzi kuanzia miaka sifuri hadi nane

Imewekwa kuanzia tarehe: October 1st, 2023

Naibu katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Amon Mpanju, amewaomba viongozi wa Serikali, Wazazi na viongozi wa dini kupitia misikiti makanisa kumlinda katika makuzi yake kuanzia tumboni  hadi umri  wa miaka minane.

Mpanju alikuwa anazungumza katika uzinduzi wa Progam Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM ) Mkoa wa Ruvuma  uliofanyika kwenye ukumbi wa  Manispaa ya Songea.

Hata hivyo amesema  serikali  ina mpango wa kuweka mkakati wa Pamoja ili  kuhakikisha wanamfikia kila mwananchi katika kupata huduma zile za msingi za afya, ulinzi, lishe na  malezi chanya anayositahili kupa mtoto.

“Kama serikali tunahitaji kila mdau tuwenae na aelewe hi program ya kitaifa na aelewe nia ya serikali kwamba ni kumuokoa mtoto wa kitanzania na kutengeneza taifa bora la watu wanao wajibika na walio tayari kuifia nchi yao”, asisitiza Mpanju.

Naye, mgeni rasmi  kwenye uznduzi huo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma ambaye aliwakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Mhe. Aziza Mangosongo, amewaomba wakurugenzi  kupitia usimamizi wa wakuu wa Wilaya kwenda kuzindua program hiyo ngazi ya wilaya kabla ya  Desemba mwaka huu.

 Ameagiza Program hiyo itengewe bajeti maaalum kuanzia ngazi ya Mkoa na Halmashauri ili kufanikisha utekelezaji wake kwa urahisi.

 Naye Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka  Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Joel Mwakapala  ametoa rai kwa wazazi na walezi kuwekeza mapema kwa  makuzi na malezi  ya mtoto ili kupunguza udumavu na utapiamlo.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Ruvuma Komred  Odo Mwisho amesema wao kama chama wapo tayari kwenda kutoa elimu ya malezi na makuzi ya mtoto na kuwalinda dhidi ya  unyanyasaji wa kijinsia.

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Julius Mtatilo amesema malezi mabaya kwa mtoto yanasababishwa na wazazi wenyewe kwa kupitia mambo mbali mbali kwenye familia kama ugomvi ndani ya nyumba na baba kuitelekeza familia hali inayosababisha Watoto kukosa malezi bora.

Mratibu wa Programu hiyo mkoani Ruvuma ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii Mariam Juma amemshukuru  Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuleta  program hiyo nchini ambayo ina kwenda kuwasaidia watoto wote wenye umri wa miaka sifuri hadi minane hivyo kupunguza udumavu.

Imeandikwa na Farida Baruti kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Oktoba Mosi,2023

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.