• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAZAZI washauriwa kuimarisha maadili kwa vijana

Imewekwa kuanzia tarehe: February 26th, 2024

Mwakilishi wa Katibu Mkuu na Mhifadhi Mkuu kutoka Wizara ya Maliasili na utalii Idara  ya mambo ya Kale William Mwita ametoa rai kwa kwa watanzania kuimarisha maadili kwa vijana na kuwarithisha historia na utamaduni wa mtanzania .

Mwita Ameyasema hayo, wakati akizungumza katika kongamano la kumbukizi ya mashujaa wa vita ya majimaji lililofanyika katika  ukumbi wa  Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa.

Mwita amesema kupitia kongamano hilo wanafikisha ujumbe waliokuwa nao babu zetu wa vita ya majimaji ambao walijitoa mhanga katika kupigania taifa hilo na kuhakikisha maadili ya Taifa yanaendelea kulindwa.

“tutatumia haya matamasha ili kuhakikisha jamii inakuwa na maadili mema na kurithisha historia kutoka kizazi kimoja kwenda kingine”, amesema Mwita.

Katika kongamano hilo Mwita amesema Mh.Rais Samia Suluhu aliwaomba machifu  kuhakikisha wanatumia makongamano kama hayo kwa ajili ya kuimarisha maadili kwa vijana na jamii kwa ujumla.

Kwa upande wake Kaimu Mhifadhi wa Makumbusho ya Taifa ya Majimaji Rose Kangu amesema lengo la kongamano hilo ni kuwarithisha wanafunzi mila na desturi zao ili waweze kuzishikilia.

Naye Mkurugenzi Msaidizi Idara ya maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Mchezo Dkt Julieth Kabyemerwa ameyataja maadili ya kitanzani kuwa ni nidhamu , utii, uaminifu, kutokuwa na upendeleo, kutokiuka sheria  na , kuvaa mavazi yenye staa.

Kongamano la kumbukizi ya mashujaa wa vita ya majimaji hufanyika kila mwaka kwa lengo la kuenzi historia na kuwarithisha vijana uzalendo uliofanywa na mashujaa hao waliopita

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.