• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WAZIRI wa Afya atahadharisha wananchi kuhusu ugonjwa wa MPOX

Imewekwa kuanzia tarehe: March 15th, 2025

Waziri wa Afya na Mbunge wa Peramiho , Mheshimiwa Jenista Mhagama, ametangaza rasmi kuwepo kwa ugonjwa wa Mpox (Murbag) nchini Tanzania na kueleza hatua zinazochukuliwa na serikali ili kukabiliana nao.

Akizungumza katika kikao kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea , Waziri Mhagama amewataka wananchi kupata elimu sahihi kuhusu ugonjwa huo, kujikinga na kuepuka maambukizi. 

Ameeleza kuwa Mpox ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya kugusana moja kwa moja na mgonjwa, kukumbatiana, kubusiana, pamoja na kutumia vifaa vilivyotumiwa na mtu aliyeambukizwa.

Katika juhudi za kudhibiti ugonjwa huo, Waziri Mhagama amesema kuwa serikali imejipanga kikamilifu na imeandaa kampeni maalum ya siku 54 za mapambano dhidi ya Mpox. 

Aidha, ameeleza kuwa mnamo Machi mwaka huu, kulikuwa na tetesi za uwepo wa wagonjwa wenye dalili za Mpox mkoani Kagera, na kufikia Machi 9, 2025, serikali ilithibitisha rasmi kuwa na wagonjwa wawili wa ugonjwa huo.

Amehimiza wananchi kuchukua tahadhari kwa kuzingatia maelekezo ya wataalam wa afya ili kudhibiti kuenea kwa ugonjwa huo. 

Mbali na mapambano dhidi ya Mpox, Waziri Mhagama ameweka wazi kuwa serikali inaendelea kufanya juhudi kubwa za kupunguza vifo vya akina mama na watoto. 

Amesema kuwa hadi kufikia mwaka 2030, lengo la serikali ni kuhakikisha vifo vya akina mama na watoto vinapungua kwa kiasi kikubwa na kila mama anapata haki yake ya msingi ya kiafya.

Katika hotuba yake, Waziri Mhagama amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa juhudi zake za kuimarisha sekta ya afya 


Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.