Mbunge wa Jimbo la Nyasa mkoani Ruvuma Mhandisi Stella Manyanya akizungumza na wananchi wa kata ya kihagara ambao walishiriki katika tamasha la utamaduni na mila ambalo hufanyika kila mwaka mwezi Julai ambapo vikundi nane vya ngoma ya mganda vilivyopo katika kata hiyo vilionesha burudani nzito
Regional Commissioner Office
Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.
Simu: 0252602256
Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174
Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz
Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.