• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WIZARA ya Afya yatoa elimu kwa wanahabari Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: April 3rd, 2025

Ili kupunguza hali duni ya lishe mkoani Ruvuma, Wizara ya Afya imeandaa semina maalum kwa waandishi wa habari na wadau wa lishe.

Semina hiyo imelenga kuwajengea uwezo kuhusu kanuni za uongezaji wa virutubishi kwenye chakula, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa serikali kutokomeza tatizo la lishe duni nchini.

Semina hiyo imefanyika , katika ukumbi wa Mipango wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma.

Akizungumza katika semina hiyo, Daktari Luis Chomboko, aliyemwakilisha Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, amesema kuwa mkoa huo ni miongoni mwa maeneo yenye hali duni ya lishe.

Tafiti za mwaka 2022 zinaonesha kuwa kiwango cha udumavu mkoani Ruvuma kimefikia asilimia 35.6.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Lishe kutoka Wizara ya Afya, Bi. Neema Joshua, amesema kuwa serikali imejipanga kutatua tatizo la lishe pungufu ili kupunguza magonjwa yanayotokana na upungufu wa lishe.

Ameeleza kuwa hatua mbalimbali zimechukuliwa, ikiwemo kuongeza virutubishi kwenye vyakula vya kila siku.

Naye Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwanangu Tanzania, Bw. Water Miya, amesema kuwa tatizo la udumavu linatokana na lishe duni, hususan upungufu wa madini na vitamini muhimu mwilini.

Amesisitiza kuwa taasisi yake inasaidia kwa kuongeza virutubishi kwenye vyakula, jambo linalosaidia kupunguza matatizo kama mtoto kujaa kichwa na mgongo wazi.

Aidha, Bw. Miya amewataka wakazi wa Ruvuma kutumia vyakula vyenye virutubishi kwa wingi, kwani licha ya kuwa mkoa unaozalisha chakula kwa wingi, bado una kiwango kikubwa cha udumavu.

Amesema kuwa ukosefu wa lishe bora kwa watoto unaweza kusababisha matatizo ya afya kama uoni hafifu na madhara ya ubongo, hivyo ni muhimu kuzingatia lishe bora kwa afya bora ya jamii.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.