• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WIZARA ya Afya yawaongezea wanahabari Ruvuma ujuzi

Imewekwa kuanzia tarehe: April 2nd, 2025

Wizara ya Afya imeendesha semina kwa waandishi wa habari na  wadau wa lishe mkoani Ruvuma ambayo imelenga kuwaongezea ujuzi ili waweze kufikisha ujumbe sahihi na kuielimisha jamii juu ya matumizi ya chakula kilichoongezwa virutubishi.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dr. Louis Chomboko, akifungua semina hiyo kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa, amesema baada ya semina hiyo waandishi wa habari na wadau wa lishe wanatarajiwa kuwa wahamasishaji wa kanuni za uongezaji virutubishi kwenye vyakula ili kupunguza tatizo la upungufu wa madini na vitamini katika mkoa wa Ruvuma.

Amebainisha kuwa kwa mujibu wa takwimu za afya na viashiria vya malaria za  mwaka 2022, hali ya udumavu katika mkoa wa Ruvuma ni asilimia 35.6, uzito pungufu ni asilimia 12.2, upungufu wa damu kwa watoto walio chini ya miaka 5 asilimia 45 na upungufu wa damu kwa wajawazito asilimia 30.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Taasisi ya MWADETA (Mwanangu Development Tanzania), Walter Miya, akitoa Elimu kwa waandishi wa habari juu ya kuielimisha jamii kuhusu matumizi ya chakula kilichoongezwa virutubishi, ameyataja madhara yanayotokana na kula vyakula visivyo na madini ya Foliki ambayo ni watoto kuzaliwa wakiwa na tatizo la kichwa kujaa maji na mgongo wazi ambayo hivi sasa yanakua kwa kasi.

Ametoa wito kwa wananchi wote hususan wanawake kula chakula chenye madini ya Foliki na kutumia vidonge vya Foliki ili kuzuia kuzaa watoto wenye matatizo ya kichwa kujaa maji na mgongo wazi.

Semina hiyo imelenga kuwaongezea ujuzi waandishi wa habari na wadau wa lishe ili waweze kufikisha ujumbe sahihi na kuielimisha jamii kuhusu matumizi ya chakula kilichoongezwa virutubishi lengo likiwa ni kupunguza madhara yanayotokana na ukosefu wa madini hayo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.