• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WIZARA ya Kilimo imekuwa msaada mkubwa kwa Mkoa wa Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: September 20th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed amebainisha kuwa Wizara ya Kilimo  imekuwa msaada mkubwa kwa Mkoa wa Ruvuma hasa katika kipindi hiki cha uuzaji wa Mahindi.

Ameyasema hayo alipokutana na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro, Waziri wa Kilimo Mh. Hussein Bashe, Waziri wa Maji Juma Awesu na Naibu waziri wa Madini  Dkt. Steven Kiruswa Katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

Amebainisha kuwa Mkoa unakubaliana na viwango vya kusafisha mahindi vilivyowekwa kwa kuwa hauwezi kupata Soko la mazao nje ya Nchi kama mazao hayo yana uchafu.

Ameshauri kuendelea kuwaelimisha Wakulima na NFRA kujumuisha bei ya kilo ya Mahindi na gharama za kusafisha Mahindi ili NFRA iendelee na Jukumu la kusafisha Mahindi na Wananchi waruhusiwe  kupeleka Mahindi Yao.

Ameeleza kuwa zipo mashine mahususi za kusafisha Mahindi katika Masoko ya Dunia  na kuomba kupatikana kwa mashine hizo kwa msaada wa ubia wa Serikali na wawekezaji ili kuwarahisishia wakulima kusafisha Mahindi Yao.

Ameeleza ipo changamoto ya kukosekana kwa maghala ya kutosha ya kuhifadhia Mahindi na uchache wa magari ya kusafirishia Mahindi kupeleka sehemu za kuhifadhia jambo ambalo Mkoa unaendelea kulitatua.

Ameeleza suala la uuzaji wa mazao kupitia mfumo wa Stakabadhi za ghala ambapo Wizara ya kilimo inaendelea kuunga mkono, na ameshauri kuendelea kusimamia vizuri mfumo huu kwa kuzingatia manufaa ya wakulima.

Kwa Upande wa Waziri wa Maji Juma Awesu, Mkuu wa Mkoa ameeleza wameendelea kushirikiana nae kuhusu maendeleo ya Maji katika Mkoa na Nchi kwa ujumla.

Sanjari na hayo Mkuu wa Mkoa ameeleza kuwa kama Mkoa umejipanga vyema katika  kufanikisha shughuli za Tamasha la Utamaduni na Ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.