• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

WIZARA ya Kilimo yatoa vifaa kwa maafisa ugani Namtumbo

Imewekwa kuanzia tarehe: September 8th, 2023

MKUU  wa wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma Mheshimiwa  Ngollo Malenya amekabidhi vifaa  vyenye thamani ya milioni 17,850,000 kutoka wizara ya kilimo Kwa maafisa ugani 38 wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo.

Akikabidhi vifaa hivyo Malenya alisisitiza utunzaji wa vifaa hivyo pamoja na wataalamu kuwasaidia wakulima Ili waweze kuzalisha mazao Kwa wingi na Kwa ubora.

Aidha mkuu wa wilaya huyo alidai wilaya ya Namtumbo ni wilaya ya kilimo inayochangia hifadhi ya chakula katika ghala la taifa hivyo aliwaagiza wataalamu kutumia vifaa hivyo kuwaongezea wakulima utaalamu Ili waweze kuzalisha zaidi.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Chiriku Hamis Chilumba aliishukuru Serikali Kwa kuwapatia vifaa hivyo Kwa wataalamu wao wa ugani Ili waweze kuwasaidia wakulima utaalamu wa kuzalisha zaidi kupitia kuwahudumia wakulima Kwa ukaribu na kubainisha aina ya udongo unaofaa Kwa kilimo kulingana zao linalohitajika.

Afisa Kilimo wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Andrew Tarimo alisema vifaa vilivyopokelewa ni Gumbut ,Bomba za kupulizia wadudu, Makoti ya mvua (Rain coat) pamoja na kifaa Kwa ajili ya kupimia afya ya udongo.

Afisa ugani kasto Ngonyani wa Kijiji Cha mtonya  Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo alidai kutolewa Kwa vifaa hivyo vitawarahisishia maafisa ugani kuwaelimisha wakulima kilimo  Bora chenye tija Kwa kulima  na kuzalisha mazao kulingana na udongo wa eneo husika kutokana na uwepo wa kifaa Cha kupimia afya ya udongo alisema Gambi.

Wilaya ya Namtumbo ni wilaya ya wakulima hivyo kutolewa Kwa vifaa hivyo vitasaidia wataalamu wa ugani  waliopo katika Halmashauri ya Namtumbo Kuwaelimisha wakulima kujua aina ya udongo na mazao Gani yanayopaswa kulima kulingana na afya ya udongo uliopimwa Ili wakulima wapate tija katika uzalishaji na kuwaletea wananchi hao Maendeleo.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.