• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BARAZA la madiwani la Halmashauri ya Songea lafikia ukomo

Imewekwa kuanzia tarehe: June 14th, 2020

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma  Rajabu Mtiula amewatahadharisha   waliokuwa Madiwani kuacha kujishughulisha na kazi za Udiwani baada ya muda wao kufikia ukomo.

 Mtiula ametoa tahadhari hiyo Katika kikao Maalumu cha kuvunja  Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo katika mji mdogo wa Peramiho.

“Baada ya leo  kuvunja Baraza hili Madiwani hampaswi kujishughulisha na kazi zozote zinazohusiana na udiwani katika kata zenu kwa sababu utakuwa umevunja sheria na unaweza kushitakiwa’’,alisisitiza.

Hata hivyo Mtiula amemshukuru Mkurugenzi na  Wataalamu wa Halmashauri hiyo kwa kazi nzuri ya kusimamia  utekelezaji wa Ilani ya CCM  katika kipindi cha miaka mitano.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri  hiyo Simoni Bulenganija amewashakuru madiwani hao kwa ushirikiano mkubwa waliotoa katika kusimamia shughuli mbalimbali za Halmashauri hiyo  na kufanikiwa kutekeleza miradi mingi ya maendeleo kwa asilimia 100.

Naye Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Menasi Komba akizungumza kwa niaba ya Madiwani ametoa rai kwa  Wataalamu kuendelea kushirikiana ili kuwahudumia wananchi wa Halmashauri hiyo ambao wana kiu ya kupata maendeleo.

Kulingana na sheria,kanuni,taratibu na miongozo ya TAMISEMI ,ukomo wa kazi ya  madiwani  ni  wa miaka mitano.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MBINGA-MBAMBABAY : barabara inayojenga utalii kwenye milima ya Kusini

    June 01, 2025
  • PICHA ya Rais Samia yapamba mti wa kihistoria Namtumbo

    June 01, 2025
  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.