• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BEETROOT mmea wenye uwezo wa kusaidia wagonjwa wa upungufu wa damu,kisukari,kansa na figo kivutio nanenane Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: August 6th, 2020

Sikukuu ya wakulima maarufu kama MAONESHO YA NANE NANE yaliyoanza tarehe 1 Agosti Songea Mkoani Ruvuma yamepambwa na  Zao  la Beetroots ambao umeonekana kuwa ni zao geni kwa wananchi wa Mkoa huo.

Akizungumza katika maonesho hayo ya Nane nane mtaalamu  anayewakilisha  mkoa wa Ruvuma na Njombe kutoka kampuni ya SEEDCO Frola Mgangala amesema Beetroots ni jamii ya kiazi chekundu na  kwamba ni zao zuri katika kujenga afya ya binadamu akiwa mzima au mgonjwa.

‘’Beetroots ni mmea ambao unaongeza uwingi wa damu kwa saa  24,kwa wazee inaboresha cd4 zao, kwa sababu mwili unakuwa unashambuliwa na maradhi, inarudisha kinga vizuri,kwa akinamama wajazito wanapoenda kliniki wanapewa dawa badala yake wanaweza kutumia Beetroot,pia kwa watoto wadogo badala ya kutumia vitamini ‘’A’’ anaweza kutumia  beetroot’,alisisitiza Mgangala.

Mtaalamu  huyo wa SEEDCO ameelezea mmea  wa Beetroot unaweza kumsaidia mgonjwa yeyote akiugua na kurudisha kinga ya mwili kwa haraka na majani ya mmea huo unaweza kutumika kama mboga zingine za majani,pia unaweza kutengeneza juisi na  kuliwa kama karoti na  kutumika kama kiungo cha mboga.

Afisa Kilimo kutoka Wilaya ya Tunduru  Lucy Komba akizungumza kwenye maonesho hayo mjini Songea ameeleza kuwa mmea wa Beetroot unaweza kutumika kwa matumizi mengi hasa katika kuboresha afya ya binadamu.

‘’Matumizi ya mmea huo unaweza kutafuna kama kiazi au karoti inasaidia kwa wenye matatizo ya  figo,kisukari,Ugonjwa wa moyo  na kansa ’’,alisisitiza.

Hata hivyo Komba amesema zao hilo linaweza kulimwa kwenye bustani ndogo nyumbani  tangu kupanda mpaka kukomaa linachukua muda wa miezi miwili na kuwa tayari kwa matumizi na mbegu ya zao hilo zinapatikana kila Halmashauri zote za  Mkoa wa Ruvuma.

Kaulimbiu ya maonesho ya nanenane mwaka huu inasema kwa maendeleo ya kilimo,mifugo na uvuvi chagua viongozi bora 2020.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Ofisi ya Habari Mkoa Ruvuma

Agosti 4,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.