• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BILIONI 21 kutengeneza miundombinu ya barabara Mbinga

Imewekwa kuanzia tarehe: November 11th, 2024

Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi. Silvester Chinengo, amesema  kiasi cha fedha Bilioni 21, 186, 188, 485 kimetegwa kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya matengenezo ya barabara katika Wilaya ya Mbinga.

Amesema hayo wakati wa hafla ya makabidhiano ya mradi wa ujenzi wa barabara ya Utiri -Mahande kwa kiwango cha lami kwa Mkandarasi Ovans Construction Limited iliyofanyika katika Kata ya Utiri Wilayani Mbinga.

"Bajeti ya Halmashauri ya Mji wa Mbinga inaonesha kuwa Bilioni 2, 348,450,000 zimetengwa na Serikali kwa ajili ya matengenezo ya barabara ambapo Milioni 848,450,000 zimetengwa kwa miradi ya ukarabati wa barabara, makaravati na madaraja, usimamizi na utawala, na Milioni 1,500,000 zimetengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo," alisema Mhandisi Chinengo.

Ameongeza kuwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Bilioni 2,637,500,000 zimetengwa kwa ajili ya matengenezo ya barabara, ambapo Milioni 787, 500,000 zimetengwa kwa miradi ya ukarabati wa barabara, makaravati na madaraja, usimamizi na utawala, huku Milioni 1,850,000 zikitengwa kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Mha. Chinengo amebainisha kuwa kupitia mradi wa Agriconnect unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya, Wilaya ya Mbinga imeidhinishiwa kiasi cha Bilioni 16,200,238,485 kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Utiri -Mahande yenye urefu wa kilomita 14.414 hivyo kufanya bajeti ya Wilaya ya Mbinga kuwa jumla ya Bilioni 21,186,188,485 kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Kupitia mfuko wa Agriconnect unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya, TARURA imepanga kutekeleza mradi wa barabara ya Utiri-Mahande kwa kiwango cha lami na ufungaji wa taa za barabarani 107, kwa gharama ya Bilioni 16.2 chini ya Mkandarasi Ovans Construction Limited.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.