• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

Imewekwa kuanzia tarehe: May 8th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma limeingia kwenye historia kwa kuzindua rasmi Bodi ya kwanza ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (TUUWASA)

,Tukio hilo limeelezwa kuwa ni hatua muhimu katika kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi. Bodi hiyo yenye wajumbe saba, imeundwa kwa mujibu wa miongozo ya kitaifa ya usimamizi wa maji katika miji midogo na makao makuu ya wilaya.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mheshimiwa Chacha, aliwataka wajumbe wa bodi hiyo kuhakikisha wanasimamia kwa weledi rasilimali za maji, miundombinu iliyopo, na kushirikiana kikamilifu na taasisi nyingine katika kutatua changamoto za huduma ya maji.

 “Hali ya maji kwa sasa haitoshelezi mahitaji halisi ya wananchi. Maji ni uhai, na usimamizi wake unapaswa kuwa wa makini na wa kizalendo,” alisisitiza kwa msisitizo mkubwa.

Mheshimiwa Chacha alieleza kuwa wajibu mkubwa wa bodi hiyo ni kuhakikisha hakuna mwananchi anayekosa huduma hiyo muhimu kutokana na uzembe wa usimamizi.  kuwa hatua za kimkakati zinahitajika ili kulinda vyanzo vya maji na kuhakikisha matumizi sahihi kwa vizazi vya sasa na vijavyo.

 “Tunapozungumzia maji, tunazungumzia maisha ya kila mmoja wetu,” alisema kwa msisitizo.

Katika hafla hiyo, Mhe. Chacha alimpongeza Mkurugenzi wa TUUWASA, Mhandisi Cuthbert Richard Kiwia, kwa uongozi bora usio na malalamiko, na kuahidi kuwa serikali itaendelea kuunga mkono mipango yote inayolenga kuboresha huduma hiyo. .

Bodi hii mpya inatarajiwa kuwa chachu ya mabadiliko makubwa katika sekta ya maji wilayani humo, huku Mhe. Chacha akihimiza wajumbe wake kuanzisha sheria ndogo ndogo zitakazosaidia katika utekelezaji wa majukumu yao

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.