• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

BWAWA la Mpitimbi kivutio kipya cha utalii na uwekezaji Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: May 8th, 2024

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu  Mheshimiwa Jenista Mhagama ameagiza kuboreshwa Bwawa la maji la asili lililopo katika Kijiji cha Mpitimbi  wilayani Songea mkoani Ruvuma ili  liingizwe kwenye mpango  ufugaji endelevu  wa viumbemaji.

Waziri Mhagama amesema hayo wakati anazindua mradi wa kuimarisha lishe na ufugaji endelevu wa viumbemaji  kwa wakulima wadogo uliofanyika Kijiji cha Mpitimbi wilayani Songea.

Katika mradi huo serikali kupitia shirika la IFAD imetenga kiasi cha shilingi bilioni 3.1 kutekeleza mradi huo katika wilaya za Songea na Mbinga mkoani Ruvuma na Wilaya za Ruangwa na Mtama mkoani Lindi,mradi ambao unatekelezwa kwa miaka miwili kuanzia Machi 2024 hadi Machi 2026.

“kuna bwawa la Mungu linalovutia sana lipo  hapa Mpitimbi tena lipo njiani tu mnaweza kujionea ili kuangalia namna mnavyoweza kulitumia bwawa hilo la asili lenye ukubwa wa hekta 17  lenye uwezo wa kuingia samaki wengi kama litaboreshwa vizuri’’,alisisitiza Mhagama.

Mbunge huyo wa Peramiho amesema wamedhamiria kuiona Mpitimbi inakuwa kituo kikubwa cha ufugaji wa Samaki baada ya kuboresha bwawa hilo ambalo litakuwa kivutio kwa wawekezaji na chanzo kikubwa cha mapato na lishe bora kwa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma

Mhagama amesema Bwawa hilo ni kivutio kikubwa kwa wageni wengi pia  linaweza kusaidia mradi huu wa ufugaji endelevu wa viumbemaji wakiwemo samaki ambapo Serikali ya Rais Samia imewekeza mabilioni ya fedha kutekeleza mradi huu.

Waziri Mhagama amebainisha kuwa wameanza kuteta na Mwakilishi wa Shirika la IFAD ili  mradi wa bwawa la asili Mpitimbi uende sanjari na mradi wa  shamba darasa la ufugaji Samaki  lililopo Kijiji cha Mpitimbi

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.