• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

HEKTA 39,000 za Miti zimepandwa Madaba

Imewekwa kuanzia tarehe: November 12th, 2021

KAMATI ya Siasa Mkoa wa Ruvuma imetembelea Shamba la Miti Wino katika Halmashauri ya Madaba Wilaya ya Songea lenye hekta 39,000.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma Odo Mwisho Mara baada ya kukagua Shamba hilo amebaini changamoto ya barabara kutopitika kwa urahisi wakati wa Mvua na amewaomba TARURA kuangalia uwezekano wa uboreshaji wa  Barabara hiyo.

Mwisho amebaini pia changamoto ya uchomaji wa Moto katika maeneo ya Shamba hilo na ametoa rai kwa wananchi kutoa  taarifa pale wanapotaka kuchoma mashamba yao ili TFS wawape mbinu ili Moto usisambae katika Mashamba hayo.

‘’Wananchi Muwe wastaarabu katika kuchoma Misitu Moto kwasababu TFS wanatoa Elimu halafu wananchi mnakuwa wakaidi mnapelekea kuharibu shamba la miti ambalo linategemewa kuingiza uchumi katika nchi yetu’’.

Kwa upande wake Mhifadhi  Mkuu Shamba la Miti Wino Grory Kasmir akisoma taarifa kwa kamati hiyo amesema hifadhi ya Msitu wa Wino iliendelezwa na TFS mwaka 2010 na kuhusishwa eneo dogo la msitu wa asili wenye ukubwa wa hekta 2,000 na mwaka 2014 hadi 2016 walipata maeneo vijiji vya Mkongotema na finga.

Kasmir amesema kuanza upandaji wa Miti hadi kufikia sasa jumla ya hekta 5,004.6 imepandwa miti ya jamii mbalimbali na sehemu kubwa ni miti ya misindano.

Mhifadhi ameeleza malengo makubwa ya kuanzishwa kwa hifadhi ya msitu wa Wino Pamoja na kuhifadhi mali asili zinazotaka kutoweka na vyanzo vya Maji Lupahila,Lutukila,Luhuhu Pamoja na Ziwa Nyasa.

Hata hivyo Kasmiri ameeleza faida ya Shamba hilo ikiwemo Ajira kwa watumishi wa kudumu 15 wamkataba 7 pamoja na vibarua 4,000 na Mazao ya Biashara kama Mbao,Nguzo za Umeme kwa siku za usoni ili kuongeza mapato ya Serikali Pamoja na kuboresha mazingira.

Mhifadhi ameeleza changamoto zinazojitokeza katika Shamba hilo  ikiwemo matukio ya uchomaji wa Moto kwa kiasi kikubwa na kupunguza usimamizi endelevu wa shamba ,uandaaji wa Mashamba msimu wa Kilimo kwa kutumia Moto.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Ofisi ya Habari ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Novemba 12,2012.

 

 

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAIFA lamlilia Songambele Shujaa wa Uhuru aliyeishi karne moja

    June 01, 2025
  • SHAMBA la AVIV Tanzania ni mfano wa kuigwa nchini

    June 01, 2025
  • SEKONDARI ya Dkt.Samia alama ya maendeleo Namtumbo

    June 01, 2025
  • MUONEKANO wa baadhi ya majengo ya hospitali ya Manispaa ya Songea

    June 01, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.