• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

JAMII yatahadharishwa kuacha kula mizigo kuepuka magonjwa ua milipuko

Imewekwa kuanzia tarehe: October 14th, 2020

Jamii imeshuriwa kuchukua tahadhari na kuzingatia kanuni taratibu na sheria inayozuia kula mizoga au nyama isiyokaguliwa na wataalam wa mifugo ili kijikinga na magonjwa ya milipuko.

Ushauri huo umetolewa na Afisa Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Dr Erick Kahise wakati wa mahojiano ofisini kwake mjini Peramiho.

Dr Kahise ametaja mfano wa magonjwa ambayo yanatokana na kutozingatia kanuni za afya  ni minyoo ya nguruwe ambayo hukaa ndani ya ubongo kwa muda mrefu na kusababisha kifafa.

Magonjwa mengine ni kutupa mimba kwa ng’ombe ambao binadamu anaweza kupata na dalili zake zinafanana na za malaria,kunywa maziwa mabichi ambayo yametokana na ng’ombe mwenye vimelea vya TB (micobacterium bovis).

Ametahadharisha kuacha kuishi na wanyama ndani ya nyumba moja na kuacha mifugo kuzurura hovyo kama mbwa ni hatari kwa afya ya binadamu kwa sababu nao husambaza magojwa kama kichaa cha mbwa ambacho kinaonekana kuwa tishio kwa uhai na hustawi wa binadamu.

“Ikitokea mnyama amekufa wananchi waache tabia kukimbilia kula nyama badala yake watoea taarifa kwa mamlaka husika ili taratibu za kitaalam ziweze kufanyika”,amesisitiza Dr Kahise.

Dr kahise ametaja mikakati ya kudhibiti magonjwa hayo  kuwa ni pamoja na uchinjaji na uuzaji wa nyama kufanyika katika maeneo rasmi yaliyoruhusiwa na Serikali.

Kwa upande wake Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Dr.Jofrey Kihaule amesema katika klpindi cha kuanzia mwaka 2019 hadi Oktoba 2020 jumla ya watu 340 waling’atwa na mbwa kati ya hao watu 20 walithibitika kuugua kichaa cha ,mbwa na wamepata matibabu.

 

Jacquelen Clavery

Afisa Habari, Songea DC.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.