• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

JENGO la wagonjwa wa dharura EMD hospitali ya Rufaa Ruvuma linavyookoa maisha ya wananchi

Imewekwa kuanzia tarehe: May 5th, 2023

SERIKALI imetoa kiasi cha Sh.milioni 630,340,507.00 kwa ajili ya ujenzi wa jengo la huduma za dharura(EMD)kwa awamu mbili katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Ruvuma(Homso).

Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dkt Magafu Majura amesema hayo , wakati akitoa taarifa ya ujenzi wa jengo hilo kwa kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2023 Abdalla Shaibu Kaim.

Dkt Majura alieleza kuwa,katika awamu ya kwanza mkoa wa Ruvuma ulipokea kiasi cha Sh.milioni 250,910,500.00 na awamu ya pili imepokea Sh.milioni 379,430,007.

Kwa wa Dkt Majura ni kwamba,mradi huo umetekelezwa kwa njia ya force Akaunti ambapo gharama za ununuzi wa vifaa vya ujenzi ni Sh.milioni 557,527,942 na gharama za ufundi wa jengo hilo ni Sh.milioni 72,812,565.

Alisema,mradi ulianza kutekelezwa mwezi Julai 2020 kwa kuvunja baadhi ya majengo na kukamilika mwezi Septemba 2021,ambapo kazi zote zilizopangwa kutekelezwa zimekamilika kwa asilimia 100 na jengo limeanza kutumika.

Alisema,lengo la kujenga jengo hilo ni baada ya kuwepo kwa ongezeko kubwa la wateja/wagonjwa wanaotibiwa katika Hospitali hiyo,hususani wenye magonjwa ya dharura na changamoto ya kutokuwa na jengo  maalum kwa ajili ya huduma za wagonjwa wa dharura mbali ya kutumia eneo finyu la wagonjwa wa nje(OPD).

Alisema,hali hiyo ililazimu serikali ya mkoa wa Ruvuma kuanza mchakato wa kuiomba wizara ya afya kujengewa jengo  lenye nafasi kubwa ya kuweza kuwahudumia wagonjwa hao wa dharura.

Kwa upande wake Kiongozi wa mbio za Mwenge mwaka 2023 Abdalla Shaibu Kaim,ameipongeza serikali ya mkoa wa Ruvuma na wasimamizi wa mradi huo kwa kazi nzuri kwani umejengwa kwa viwango na ubora unaotakiwa na unalingana na fedha zilizotolewa.

Alisema,mradi huo ni wa mfano katika mkoa wa Ruvuma na kuwataka wananchi na watumiaji wengine(watumishi)wa Hospitali ya Rufaa kuhakikisha wanatunza jengo hilo ili liweze kudumu kwa muda mrefu.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.