• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAAFISA habari waagizwa kuhuisha tovuti za serikali

Imewekwa kuanzia tarehe: March 7th, 2023

Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ametoa wito kwa taasisi za Umma nchini kutumia mitandao ya kijamii kutangaza shughuli mbalimbali zinazofanywa na serikali kupitia taasisi hizo.

Akiwasilisha mada juu ya Mkakati wa Mawasiliano kwa Umma  mbele ya washiriki wa Mkutano wa 107 wa Mwaka wa Wadau wa Elimu kwa Umma unaoendelea mjini Morogoro Bw. Msigwa amesema matumizi ya mitandao ya kijamii imekua ni kiungo muhimu katika kuhakikisha uwepo wa mawasiliano ya uhakika baina ya taasisi na wadau wake na wananchi kwa ujumla.

Amebainisha kwamba kutokana na mabadiliko makubwa ya kiteknolojia yaliyopo duniani kote, serikali na taasisi zake haina budi kujiendesha kidijitali katika nyanja nzima ya mawasiliano na kuhabarisha umma ili kuendana na kasi ya mabadiliko hayo na hatimaye kuwafikia wadau wengi zaidi.

Ameongeza kuwa bado taasisi nyingi zinategemea radio, magazeti na runinga kama njia kuu za kufikisha habari na taarifa kwa jamii huku kukiwa na wimbi kubwa la wananchi wanaotegemea mitandao ya kijamii kupata habari mbalimbali hivyo amewataka Maafisa Habari na Mawasiliano wa taasisi zote za Umma kuhakikisha wanafungua akaunti kwenye mitandao hiyo ya kijamii na kuhakikisha wanaitumia kikamilifu ili kuwafikia wadau na wananchi wengi zaidi.

"Unakuta taasisi haina hata akaunti moja kwenye mitandao wa kijamii au kama wanazo basi idadi ya wafuasi haizidi 200, nichukue nafasi hii kuipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga kwa kuwa na wafuasi (followers) zaidi ya 2,000 kwenye akauti yao ya Instagram" Amesema Msemaji huyo Mkuu wa Serikali akiitolea mfano Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inavyotumia mitandao ya kijamii katika kuwafikia wadau wake na jamii kwa ujumla.

Aidha, katika hatua nyingine Mkurugenzi huyo wa Idara ya Habari MAELEZO amesisitiza kuendelea kuhuishwa kwa tovuti zote za taasisi za Umma na kwamba kwa sasa serikali pamoja na njia nyingine inatumia tovuti hizo katika kupima utendaji kazi wa Vitengo vya Mawasiliano Serikalini.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIONGOZI mwenge wa Uhuru aonya rushwa kwenye uchaguzi

    May 10, 2025
  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.