• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAAFISA ugani Songea wapewa vifaa vya kupimia udongo

Imewekwa kuanzia tarehe: September 19th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Mheshimiwa  Kapenjama Ndile amewataka Maafisa Ugani wa kilimo Wilaya ya Songea wahakikishe wanatekeleza wajibu wao katika kusimamia wakulima na kutoa elimu kwa  wananchi  juu ya kilimo bora.

Ndile amesema hayo wakati wa ugawaji wa vitendea kazi kwa wataalamu wa Ugani wa kilimo  Wilaya ya Songea iliyofanyika  katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kwa lengo la kuboresha utendaji kazi katika sekta ya Kilimo.

Amesisitiza kuwa wajibu wa kila afisa kilimo kuhakikisha anasimamia shughuli za kilimo na kutoa ushauri kwa wakulima namna ya kulima kilimo chenye tija pamoja na kutambua aina ya udongo katika shamba lake, aina ya mazao yanayostahili kulimwa katika shamba lake, kupanda  kwa wakati, kupalilia kwa wakati, pamoja na kuweka mbolea kwa wakati.”

Miongoni mwa vifaa vilivyotolewa kwa wataalamu hao ni pamoja na, Kwa Manispaa ya Songea wamepkea Ganboot pair 28, Rain Coat 28, Pump Sprayer 28, Madaba wamepokea Soil Scanner 1, Printer 1, Desktop 1, Ganboot pair 17, Rain Coat 17, Pump Sprayer 17, Kishikwambi 1, pamoja na Lamination Machine 1, Kwa Halmashauri ya Wilaya wamepokea,  Soil Scanner 1, Printer 1, Desktop 1, Ganboot pair 39, Rain Coat 39, Pump Sprayer 39, Kishikwambi 1 Lamination machine 1.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Kapenjama Ndile akizungumza baada ya kugawa vifaa kwa maafisa ugani Manispaa ya Songea

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.