• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MADABA wanavyounga mkono jitihada za Rais Samia

Imewekwa kuanzia tarehe: October 21st, 2023

MKURUGENZI Mtendaji Halmashauri ya Madaba wilaya ya  Songea mkoani Ruvuma Sajidu Idrisa Mohamed amewapongeza wananchi wa Kata ya Gumbiro kwa kuunga mkono jitihada za Rais Samia kwa usimamizi wa utekelezaji wa  Miradi iliyoletwa katika Kata hiyo.

Ameyasema hayo wakati  anasikiliza kero za wananchi wa Kijiji cha Ngadinda na kubainisha miradi iliyotekelezwa ikiwemo Madarasa  mawili na matundu 3 ya vyoo  kupitia mradi wa Boost jumla ya shilingi Milioni 53,100,000/=zimetumika, Shule ya Msingi Sokoine zaidi ya shilingi Milioni 34 zimetumika kwaajili ya ujenzi wa matundu 13 ya vyoo kupitia mradi wa SWASH.

“Mwaka 2023/2024 katika Kata hiyo wanatarajia kupokea zaidi ya shilingi Milioni 106 na kwaajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo”.

Hata hivyo Mkurugenzi ametoa rai kwa wazazi kuwalinda watoto na kuwahimiza kusoma ikiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatoa fedha kwaajili ya kuboresha Miundombinu ya Shule.

Diwani Kata ya Gumbiro Gustaph Tindwa ameipongeza Serikali kwa kuleta fedha kwaajili ya  utekelezaji wa  miradi ya maendeleo katika kata hiyo  amesema mradi wa barabara  utakaogharimu kiasi cha shilingi Milioni 200 unaotekelezwa na Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA).

“Hizo zote ni pongezi za Rais Samia,Mbunge wa Jimbo la Madaba na  wewe Mkurugenzi wa Halmashauri   ikiwa wananchi wa Kata ya Gumbiro  wananufaika na miradi hiyo”.

Tindwa amesema pia mradi wa Maji unatekelezwa katika Kata hiyo kwa zaidi ya Shilingi Bilioni moja utakaowasaidia wananchi kuondokana na changamoto ya  maji.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.