• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MAFUNZO ya Sayans na Hisabati yaanza Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: February 13th, 2025

Afisa Elimu Mkoa wa Ruvuma, Mwl. Edith Mpinzile amewasisitiza walimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati kushiriki kikamilifu katika mafunzo na kuyatumia vizuri ili yawe na manufaa kwa ustawi wa Ruvuma na Taifa kwa ujumla.

Ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya Sayansi, Hisabati na TEHAMA kwa walimu wa Sekondari mkoani Ruvuma ambayo yanafanyika kwa siku 5 katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Songea (Songea Girls) iliyopo Manispaa ya Songea.

Amewataka walimu kuthamini mchango wa Serikali katika mafunzo hayo na kuitumia fursa hiyo kujiandaa vizuri na masomo ya Sayansi ili mwaka huu Mkoa wa Ruvuma usisomeke katika orodha ya mikoa inayofanya vibaya kitaifa.

Naye Mratibu wa kituo cha mafunzo hayo Songea, Winchslaus Balige, amesema Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais - TAMISEMI kupitia Mradi wa SEQUIP inaendelea kutoa mafunzo endelevu kwa walimu wa Fizikia, Baiolojia, Kemia na Hisabati pamoja na wathibiti ubora wa shule.

Amesema mafunzo hayo yanalenga kuwawezesha walimu kufundisha masomo ya Sayansi na Hisabati kwa umahiri zaidi, kutumia mbinu bora za upimaji, na kutumia TEHAMA darasani, pia yanalenga kuwajengea uwezo wa kuandaa na kutumia zana mbalimbali na stadi za maabara, pamoja na kutumia vishikwambi kwa maandalizi ya ujifunzaji na ufundishaji.

Malengo mengine ni kuwajengea walimu uwezo wa kufanya tafiti tatuzi, kutatua changamoto za ufundishaji, na kuwajengea uwelewa juu ya sera ya Elimu na mafunzo ya mwaka 2014 toleo la 2023 na mtaala wa Elimu ulioboreshwa.

Pia, ameongeza kuwa mafunzo hayo yanalenga kuboresha umahiri wa walimu kutumia lugha ya Kiingereza katika kufundisha masomo ya Sayansi na kuimarisha uwezo wa wadhibiti ubora wa shule kufanya tathmini ya masomo hayo kwa mbinu shirikishi.

Dhima ya mafunzo hayo kwa walimu ni kuimarisha ubora wa Elimu ya Sekondari nchini kwa kuwajengea uwezo wa kutumia mbinu shirikishi, vifaa vya mtaala na zana za ufundishaji kulingana na mazingira yao.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.