• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MBINGA MJI kuingiza milioni 845 kupitia mauzo ya viwanja

Imewekwa kuanzia tarehe: February 17th, 2023

Halmashauri ya Mji wa Mbinga mkoani Ruvuma inatarajia kupata Jumla ya shilingi milioni 845.8 kutokana na mauzo ya viwanja vilivyopimwa.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo,Grace Quntine amesema kati ya fedha hizo hivyo shilingi milioni 139.6 ni gharama ya umilikishaji ambazo zitaingia serikali kuu na kiasi cha shilingi milioni 719.7 zitaingia Halmashuri ya Mji kutokana ma mauzo ya Viwanja pamoja na ada ya maombi ya kumiliki ardhi.

“Nawakaribisha Wananchi wote wilayani Mbinga,Mkoa wa Ruvuma na watanzania kwa ujumla,Wawekezaji,kampuni pamoja na Taasisi mbalimbali kujipatia viwanja katika wilaya ya Mbinga’’alisema.

Hata hivyo amesema katika kuweka utaratibu wa upatikanaji wa viwanja hivyo mwombaji asiwe na kiwanja au viwanja amabavyo avijaendelezwa ambapo amesisitiza makundi maalum yatapewa kipaumbele.

 Amesisitiza kuwa Mwombaji pia atalazimikuka kununua fomu namba 19 yenye gharama fedha za kitanzania shilingi 20,000/=, sambamba na uwezo wa kulipa kiwanja ndani ya siku thelathini.

Amesema Umiliki wa asili pia utapewa kipaumbele katika utaratibu wa utoaji viwanja katika maeneo hayo.

 Mkurugenzi huyo amesema kasi ya ukuaji wa Mji wa Mbinga imekua kwa sasa hiyo wataalamu wa Ardhi na mipango Miji katika Halmashauri hiyo wanashauri mwombaji kuendeleza viwanja hivyo ndani ya miezi 36 yaani miaka mitatu.

 Mpaka sasa Halmashuri ya Mji wa Mbinga ina Viwanja Zaidi ya 500 ambavyo vinauzwa kwa fedha ya kitanzania Shilingi 1700 kwa mita za mraba ambavyo ni viwanja vya makazi pekee.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.