• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MFUMO wa Stakabadhi Ghalani Kuwanufaisha wakulima wa Mbaazi Ruvuma

Imewekwa kuanzia tarehe: September 15th, 2022

WAKULIMA wa zao la mbaazi Mkoani Ruvuma wanufaika kwa kuuza zao hilo kupitia mfumo wastakabadhi ghalani

Hayo yameelezwa na Mrajisi wa mkoa,  Peja Mhoja kupitia taarifa mnada wa kwanza zao la mbaazi uliofanyika  agosti 30,2022, ambapo bei ilikuwa nzuri kwa wakulima kwani kilo moja imeuzwa kwa wastani wa shilingi 887.00

Alisema wakulima wamepata bei nzuri ya mazao hususani mazao yanayouzwa kupitia mfumo wa stakabadhi za Ghala pia kuwepo kwa ushirikiano nzuri kwa wadau wa stakabadhi ghalani kwa ngazi zote inapelekea mfumo kufanya kazi vizuri.

"Kuwepo kwa matumizi sahihi ya vipimo vya mizani, ambapo inamsaidia mkulima asinyonywe pindi mkulima anapoleta mazoa yake kwenye mfumo, pia  kuongezeka kwa uamasishaji wa vyama vya Msingi sinzia navyo vinafanya kazi vizuri na kupelekea kuongezeaka kwa uzalishaji wa mazoa yanauzwa kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani" alisema Mhoja. 

Hata hivyo kupitia taarifa hiyo amewasisitiza wakulima ambao wanaouza mazao yao kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani kuongeza uzalishaji wa mazao vile vile watumie mfumo ili waweze kufaidi vyema juhudi zao

Pia katika Mnada huo jumla ya kilo milioni 1.5  za mbaazi ziliuzwa ambapo bei ya wastani ilikuwa shilingi 887.00 nakufanya nakufanya jumla ya malipo kuwa shilingi bilioni 1.3

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.