• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MFUMO wa stakabadhi ghalani wawaingizia wakulima Ruvuma zaidi ya shilingi bilioni 65

Imewekwa kuanzia tarehe: August 20th, 2021

MFUMO wa stakabadhi ghalani kwenye mazao umewawezesha wakulima mkoani Ruvuma,kujipatia zaidi ya shilingi bilioni 65 kupitia mazao ya ufuta,mbaazi na soya.

Mrajisi Msaidizi  wa vyama vya Ushirika Mkoa wa Ruvuma Bumi Masuba amesema katika misimu mitatu ya kilimo kuanzia 2018/2019 hadi kufikia msimu wa 2020/2021,Mkoa wa Ruvuma kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani ulikusanya kilo 27,664,631 na kuwawezesha wakulima kupata kiasi hicho cha fedha.

“Katika msimu wa mwaka 2020/2021 pekee jumla ya minada 29 ya ufuta imefanyika  ambapo jumla ya kilo 8,326 za ufuta ziliuzwa kwa wastani wa bei ya shilingi 2,183 za kilo na kuwapatia wakulima jumla ya shilingi bilioni 17,221,852,087’’,alisema Masuba.

Akizungumzia kuhusu zao la soya,Masuba amesema katika kipindi cha misimu mitatu kuanzia mwaka 2018/2019 hadi 2020/2021 jumla ya kilo 4,963,088 za soya zilikusanywa na kuuzwa kwa wastani wa bei ya shilingi 3,375 kwa kilo na kuwaingiza wakulima shilingi 5,234,096,169.00.

Hata hivyo amesema katika msimu wa mwaka 2020/2021 pekee jumla ya minada tisa ya soya imefanyika ambayo imewezesha kuuza kilo 1,090,199 za soya zilizouzwa kwa wastani wa bei shilingi 1,327 na kuwapatia wakulima jumla ya shilingi 1,547,202,688.00 na kwamba ununuzii unaendelea.

Kuhusu zao la mbaazi,Mrajisi huyo wa Ushirika amesema katika kipindi cha misimu mitatu mfululizo ya kilimo kutoka mwaka 2019/2020  hadi 2020/2021,jumla ya kilo 5,864,615 za mbaazi zilikusanywa na kuuzwa kwa wastani wa bei ya shilingi 2,491 na kuwapatia wakulima jumla ya shilingi 3,779,134,182.

Hata hivyo amesema katika msimu wa mwaka 2020/2021 pekee imefanyika minada mitatu yenye jumla ya kilo 808,295  za mbaazi zilizouzwa kwa wastani wa bei ya shilingi 1,252 kwa kilo na kuwapatia wakulima shilingi 1,011,711,013 na kwamba ununuzi unaendelea.

Mfumo wa stakabadhi ghalani mkoani Ruvuma umekuwa ni msaada mkubwa kwa kuwapatia wakulima kipato kikubwa unapotekelezwa ipasavyo kulingana na miongozo.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Agosti 20,2021

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.