• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MH. Jenista awafurahisha wanufaika wa TASAF

Imewekwa kuanzia tarehe: July 9th, 2022

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Mh Jenista Joakim Mhagama amewataka walengwa wote wanaopokea ruzuku kutoka TASAF wapewe elimu mara kwa mara namna ya matumizi bora ya ruzuku hizo.

Ameyasema hayo jana katika uwanja wa soko la Peramiho A wakati akizungumza na wanufaika wa Mradi huo.

Amesema mpango huu unahakikisha hakuna Mtanzania atakayeachwa nyuma katika utekelezaji wa mapambano dhidi ya kunusuru kaya maskini kwa wananchi.

"Ninaomba Mratibu wa TASAF wa Halmashauri yetu awahamasishe hawa walengwa wa TASAF waanzishe vikundi na kama vikundi vipo mikopo itolewe bila riba ili waweze kujikwamua vizuri kiuchumi", amesisitiza Mh Jenista.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mwalimu Neema Magembe amemuomba Waziri aridhie na kuruhusu Viongozi Ofisi ya TASAF makao makuu Dodoma wafike kutoa Elimu na tafsiri sahihi za miongozo ya utekelezaji wa Mradi huu.

Pia ameongeza kuwa Viongozi hao kutoka makao makuu Dodoma waweze kuwajengea uelewa viongozi wote wa ngazi ya Halmashauri, Tarafa, Kata, Vijiji, Wanakamati na Wananchi wote wanaosimamia utekelezaji wa Mradi wa TASAF kabla ya kuanza kutumia fedha hizo.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea ni kati ya Halmashauri nane za Mkoa wa Ruvuma zinazotekeleza Mradi wa mpango wa kunusuru kaya maskini kupitia mfuko wa maendeleo ya Jamii TASAF ikiwa na vijiji 56 na walengwa wanaonufaika ni wanakijiji 6143.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.