• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MILIONI 58 kujenga darasa la mfano la awali Maposeni Peramiho

Imewekwa kuanzia tarehe: September 9th, 2023

SERIKALI ya Awamu ya Sita ,  mwezi huu inatarajia kuanza ujenzi wa Madarasa mawili ya Awali ya Mfano kupitia Mpango LANNES yenye thamani ya shilingi Milioni 57.8 katika shule ya Msingi Ndilima, Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Awali Kamati ya Ujeenzi  wa Mradi huo wameweza kukutana katika ofisi  ya kata ya maposeni  tarehe  05/09/2023  ikiongozwa na  Mwakilishi wa Afisa Elimu wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mwl. Sothery Nchimbi ambaye ni Afisa Elimu Maalum idara ya Elimu Msingi ili kuzijengea uwezo Kamati za ujenzi kupitia Force Akaunti.

Ambapo katika maelezo yake Mwakilishi wa Afisa Elimu wa Msingi ambaye ni Afisa Elimu Maalum  Halmashauri ya Wilaya ya  Songea ameiomba Kamati ya ujenzi kuwa waaminifu na kushirikiana katika kufanikisha ujenzi wa Madarasa hayo.

" Tunafanya ujenzi kwa ajili ya kuwezesha watoto wetu na wajukuu wetu waweze kusoma katika mazingira mazuri kwa hiyo niwaombe ndugu wajumbe kufanya kutekeleza  ujenzi huu kwa uaminifu na kwa kuzingatia ubora na kwa kuangalia mstabali wa maisha ya watoto wetu ambao  ndio  watakao soma katika Madarasa hayo na kwa kufanya hivyo tutakuwa tumetekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi katika uboreshaji Elimu ya Tanzania"

"Aidha namshukuru Mheshimiwa Rais, Daktari  Samiah Suluhu Hassan Rais wa  Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha kwa ajili ujenzi wa miundo mbinu ya Elimu katika wilaya ya Songea Aidha nawashauri kamati kuepuke kufanya kazi kiurafiki kwani tutakwamisha ujenzi,na kusababisha  kujenga chini ya kiwango au vinginevyo"

Pamoja na hayo Mwakilishi huyo wa Afisa Elimu alitoa nafasi  kwa wataalamu kutoka ofisi ya Mkurugenzi mtendaji Halmashauri ili kutoa ufafanuzi wa  kitaalamu wa mambo yanayohusu ujenzi kwa lengo la  kufanikisha ujenzi huo, Maafiasa hao walikua na haya ya kusema-;

Raymond Joseph Afisa Manunuzi wa Halmashauri  ya  Wilaya ya Songea" Lengo la kushirikiana kamati hii pamoja na wajumbe tunahitaji kuweka uwazi wa mradi, lakini kama Afisa manunuzi nawashauri kamati ya mapokezi ya ujenzi huu kuwa na kitabu cha reja ambacho kitasaidia kuandika vifaa vyote vitakavyo nunuliwa sokoni na kutoka stoo kuelekea kwenye ujenzi ili kuepusha upotevu wa vifaa wakati wa ujenzi"

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.