• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MIRADI ya Mwenge ya bilioni 4.5 yatembelewa na Mwenge wa Uhuru Songea

Imewekwa kuanzia tarehe: June 12th, 2024

Mwenge wa Uhuru 2024 umetembelea miradi 10 ya maendeleo yenye thamani ya shilingi bilioni 4.5 katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma.

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa mradi wa maji mtiririko katika Kijiji cha Lipaya Kata ya Mpitimbi,Meneja wa RUWASA Wilaya ya Songea amesema mradi wa maji Lipaya ni miongoni mwa miradi ya maji mitatu inayojumuisha vijiji vya Lipaya,Kizuka na Lipokela.

Amesema miradi hiyo inatekelezwa kwa kwa gharama ya shilingi bilioni 3.4 iliyopangwa kuhudumia wananchi wapatao 10,394 ambapo amesema katika mradi wa maji Lipaya wenye thamani ya shilingi bilioni 1.9 utahudumia wananchi wapatao 3,886.

Kwa mujibu wa Meneja huyo wa RUWASA mradi wa maji Kizuka unagharimu Zaidi ya shilingi milioni 730 na mradi wa maji Lipokela unagharimu Zaidi ya shilingi milioni 734 na kwamba miradi hiyo itasogeza huduma za maji safi na salama Jirani na wananchi.

Mwenge wa Uhuru pia umeweka jiwe la msingi  katika mradi wa  jengo la dharura katika hospitali ya misheni  ya Mtakatifu Joseph Peramiho ambapo hadi sasa Zaidi ya shilingi milioni 896 zimetumika kutekeleza mradi huo ambao unatarajia kutumia Zaidi ya shilingi bilioni 1.5 hadi kukamilika.

Mwenge wa Uhuru ukiwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea pia  umefungua bweni katika shule ya sekondari  ya Jenista Mhagama ambapo serikali imetoa shilingi milioni 128 kujenga bweni hilo lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 80.

Mradi mwingine ambao umewekwa jiwe la msingi na Mwenge wa Uhuru ni mradi wa ujenzi wa stendi ya kisasa katika Kijiji cha Lundusi Peramiho ambapo serikali imetoa Zaidi ya shilingi milioni 434 kutekeleza mradi huo ambao unahusisha  ujenzi wa stendi,maduka 36,vyoo matundu  nane,jengo la utawala na vibanda viwili vya walinzi.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.