• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA Ruvuma watoa washindi wawili wa ngumu kitaifa

Imewekwa kuanzia tarehe: September 21st, 2020

MKOA wa Ruvuma umefanikiwa kutoa mabingwa wawili   katika mchezo wa ngumi za ridhaa kitaifa uliofanyika Mkoa  wa Manyara.Mchezo huo ulianza Septemba 7 hadi 12, 2020 na kuibua washindi wawili ambao wamepata medali  mbili za fedha (Silver) na shaba.

Washindi hao ni Athanas Mgungusi ambaye ni Mhifadhi wa wanyamapori  wa  Maliasili Mkuzo mjini Songea ambaye amejishindia medali ya fedha na Hosea Thomas  ni Mhtimu wa chuo kikuu shahada ya Elimu ambaye amepata medali ya shaba.Akitoa taarifa ya ushindi huo katika hafla fupi iliyofanyika katika ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma,Afisa Michezo wa Mkoa wa Ruvuma Anzawe Chaula amesema ushindi huo ni mkubwa ambao haujawahi kutokea katika mkoa wetu

Amesema kutokana na ushindi huo mkubwa waandaji wa mchezo huo kitaifa wamependekeza kupeleka mabondia hao  walioshinda kutoka Mkoa wa Ruvuma wapelekwe kwenye fainali ya kitaifa ambazo zinatarajia kufanyika Desemba 2020. Hata hivyo chaula amesema mabondia hao wamefika ofisi ya Katibu Tawala Mkoa ambaye ni Mwenyekiti wa Michezo Mkoa  kwa lengo la kukabidhi ushindi.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Steven Ndaki amesema kupitia ushindi uliopatikana katika Mkoa wa Ruvuma imekuwa ni historia ambayo haikuwahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Mkoa huo.

‘’Juhudi hii waliyoionesha nipo tayari kutoa msaada katika  fainali zitakazofanyika Desemba  mwaka huu ili kuwawezesha kupata ushindi katika Mkoa wetu’’.alisema Ndaki.

Mkoa wa Ruvuma kwa mara ya kwanza umetoa washindi wawili  kitaifa kwa mchezo wa ngumi za ridhaa.

Imeandikwa na Farida Musa na Aneth Ndonde

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Septemba 21,2020

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.