• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma sasa una vyuo vitatu vya VETA

Imewekwa kuanzia tarehe: September 17th, 2022


UJENZI wa chuo cha ufundi Stadi VETA Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma  uliogharimu zaidi ya shilingi bilioni mbili umekamilika.

Mkuu wa chuo hicho Mhandisi Lulu Chilumba amesema chuo kinatarajia kuanza mafunzo Januari mwakani.

Amesema chuo linatarajia kutoa mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi ili kuhakikisha vijana wanapata mafunzo yatakayowawezesha kuajiriwa au kujiajiri.

“Kwa kuanzia tunaanza na kozi sita katika fani za uhazili,ujenzi,umeme,Seremala,ubunifu wa mavazi,ushonaji na ufundi wa magari “,alisema Mhandisi Chilumba.

Hata hivyo amesema fomu za kujiunga na chuo hicho zinatolewa chuoni Nyasa au kwenye tovuti ya VETA ambapo maombi ya kujiunga yameanza Septemba hadi Oktoba mwaka huu.

Mbunge wa Jimbo la Nyasa Mhandisi Stella Manyanya ametoa rai kwa wananchi wa jimbo lake kukitumia chuo cha  VETA Nyasa ambacho serikali imewasogezea mlangoni.

Mhandisi Manyanya amesema kwa miaka mingi wananchi walikuwa wanapata shida ya kusafiri mbali kufuata chuo cha VETA Songea au Namtumbo.

“Kwa niaba ya wananchi wa Nyasa tunaishukuru serikali  kwa kusimamia na kutekeleza kwa vitendo Ilani ya CCM kupitia mradi huu ambao utawanufaisha vijana wa Nyasa’’,alisisitiza Mhandisi Manyanya.

Kukamilika kwa chuo hiki kunaufanya Mkoa wa Ruvuma kuwa na vyuo vitatu vya VETA ambavyo ni Nyasa,Songea na Namtumbo, katika nchi nzima kuna vyuo vya VETA 46.

Imeandikwa na Albano Midelo 

Afisa Habari Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ruvuma 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.