• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma ulivyoshika nafasi ya kwanza kitaifa ukusanyaji mapato

Imewekwa kuanzia tarehe: April 16th, 2021


Mkoa wa Ruvuma  mwezi Machi mwaka huu umeshika nafasi ya kwanza kitaifa katika ukusanyaji wa mapato kupitia TRA  baada ya kukusanya kwa asilimia 159.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akizungumza na watendaji wa serikali na Taasisi za umma kutoka wilaya zote tano mkoani hapa,amesema hivi sasa Mkoa wa Ruvuma upo katika mikoa kumi bora inayochangia Pato la Taifa.

“Huwezi kuamini,mwezi Machi mwaka huu,Mkoa wa Ruvuma tumekuwa wa kwanza kitaifa katika ukusanyaji mapato kupitia TRA,tukusanya kwa asilimia 159,haya ni makusanyo ya serikali kuu inahusika mikoa yote nchini’’,alisema Mndeme.

Hata hivyo amesema Mkoa wa Ruvuma umekuwa kinara katika ukusanyaji wa mapato,ambapo kuanzia Julai hadi Desemba 2020,Mkoa wa Ruvuma umekuwa Mkoa wa pili kitaifa katika ukusanyaji wa mapato kupitia TRA na serikali imetoa tuzo kwa Mkoa.

Amempongeza Meneja wa TRA Mkoa wa Ruvuma pamoja wafanyakazi wote kwa ujumla kwa kusimamia ipasavyo ukusanyaji mapato kwa kiwango kilicholeta tija licha ya kukabiliwa na changamoto mbalimbali katika ukusanyaji wa mapato.

“Kazi ya kukusanya mapato ni ngumu,ina changamoto nyingi kwa sababu hakuna mtu anayependa kulipa kodi,ukusanyaji mapato ni muhimu kwa maendeleo kwa sababu serikali inatumia fedha zilizokusanywa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo barabara,umeme,elimu na miradi mingine ya kimkakati.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Aprili 16,2021

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.