• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma wafikisha asilimia 60.7 uandikishaji daftari la mpigakura

Imewekwa kuanzia tarehe: October 18th, 2024

 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed amesema hadi kufikia Oktoba 17 2024,Mkoa wa Ruvuma umefikia asilimia 60.7 ya wananchi waliojiandikisha katika daftari la mpiga kura.

Kanali Abbas amesema hayo baada ya kupokea taarifa ya uchaguzi wa serikali za mitaa katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru kwenye ukumbi Bishop Mwalunyungu mjini Tunduru.

Amesema hali ya uandikishaji katika daftari la mpigakura katika Mkoa wa Ruvuma inaendelea vema ambapo Waziri mwenye dhamana ya TAMISEMI ameutangaza Mkoa wa Ruvuma Umeshika nafasi ya pili kitaifa kwa uandikishaji wa awali wa daftari la mpigakura.

“Matokeo hayo yanaonesha kazi kubwa ya kuhamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha imefanyika ,hata hivyo kwa takwimu hizi msibweteke kwa sababu zimebaki siku chache,lengo ni kufika uandikishaji kwa asilimia 100’’,alisisitiza.

Awali Msimamizi wa Uchaguzi  wa Serikali za Mitaa 2024 katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Chiza Marando alisema hadi kufikia Oktoba 16,2024 jumla ya walijiandikisha  katika daftari la wapigakura walifikia 131,042 sawa na asilimia 53.8.

Amesema kati ya waliojiandikisha wanaume ni 62,104 na wanawake ni 68,938 na kwamba Halmashauri hiyo imelenga kuandikisha wapigakura wapatao 243,364 kati yao wanaume 117,199 na wanawake 126,165.

Hata hivyo Marando amesema timu ya hasama katika Halmashauri hiyo imendelea kutoa elimu kwa jamii,kuhamaisha wananchi kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa kupitia matangazo ya redio,matangazo ya magari,vipeperushi,mabango na elimu ya nyumba kwa nyumba.

Zoezi la uandikishaji wapigakura kwa maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa linafanyika kwa siku kumi nchini kote kuanzia Oktoba 11 hadi 20 mwaka huu.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.