• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKOA wa Ruvuma wazalisha tani zaidi ya 23,000 za kahawa kavu

Imewekwa kuanzia tarehe: October 5th, 2024

Mkoa wa Ruvuma  katika msimu wa mwaka 2024/2025 hadi kufikia Septemba mwaka huu umefanikiwa kuzalisha tani 23,910,703 za kahawa kavu.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed  wakati anazungumza kwenye maadhimisho ya siku ya kahawa duniani ambayo kimkoa yamefanyika katika Kijiji cha Liganga wilayani Songea.

Hata hivyo amesema katika msimu huu,Mkoa wa Ruvuma unatarajia kuzalisha tani 25,000 ambapo hadi sasa Mkoa wa Ruvuma unashika nafasi ya pili katika uzalishaji wa kahawa Tanzania baada ya Kagera.

Amesema katika msimu wa mwaka 2023/2024 Mkoa wa Ruvuma ulizalisha  zaidi ya tani 22,000 za kahawa kavu na kwamba katika kuendeleza zao la kahawa ,Bodi ya kahawa imeweka malengo makuu matatu.

Ameyataja malengo hayo kuwa ni usajili wa wakulima wote wa kahawa ili kuwa na mpango sahihi wa kuwahudumia,utoaji wa miche bora kahawa ambapo kwa mwaka huu  tayari miche 3,190,000 itatolewa bure kwa wakulima na mpango wa ufufuaji wa mashamba ya miti ya kahawa iliyozeeka.

"Hali ya uzalishaji wa zao kahawa katika Mkoa wa Ruvuma bado una changamoto nyingi,uzalishaji kwa wakulima wengi ni mdogo, wakulima waelimishwe kuwekeza vizuri katika maeneo yao na ufanyike uhamasishaji wa kupanua mashamba na kuanzisha mashamba mapya’’,alisema.

Mkuu wa Mkoa amemshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan anavyowekeza kwenye kilimo ikiwemo zao la kahawa ambapo hivi karibuni alitembelea shamba la kahawa la AVIV wilayani Songea.

Kwa upande wake  Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mheshimiwa Peres Magiri akizungumza kwa niaba ya wakuu wa wilaya wa Mkoa wa Ruvuma kwenye maadhimisho hayo ametoa rai kwa wakulima kuuza kahawa yao kwa njia ya mnada ili kupata bei nzuri kulingana na bei ya soko.

Amesema upatikanaji wa  mbolea ya ruzuku umesaidia katika uzalishaji wa zao la kimkakati la kahawa  mkoani Ruvuma  hivyo wananchi  wanapata faida kubwa.

Kaulimbiu ya siku ya  maadhimisho ya siku ya kahawa Duniani mwaka huu ni Tunza mazingira kwa kilimo endelevu.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.