• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MKUU wa Wilaya ya Nyasa alivyodhamiria kutatua changamoto za mawasiliano Kata ya Linga

Imewekwa kuanzia tarehe: August 24th, 2023

MKuu wa Wilaya ya Nyasa  Mheshimiwa .Filberto Sanga amesema Serikali Kwa kushirikiana na wananchi wa Kata ya Linga itatatua changamoto ya ukosefu wa shule ya  Sekondari na mawasiliano ya mtandao wa Simu za mikononi.

Ameyasema hayo hivi karibuni wakati akiongea na wananchi hao katika Viwanja vya mikutano uliofanyika katika Kijiji Cha Ngingama kata ya Linga Wilayani hapa.

Mheshimiwa .Sanga amefafanua kuwa amefika katika kata ya Linga Kwa lengo la kuwatembelea wananchi, kutangaza kazi za Serikali na kusikiliza na kutatua kero Za wananchi, hivyo ameona uhalisia kuwa Moja ya changamoto zinazowakabili wananchi ni ukosefu wa shule ya Sekondari na mawasiliano ya mitandao ya Simu.

Ameongeza kuwa kata hiyo ni kata pekee Wilayani Nyasa ambayo Haina  Sekondari ya kata, na wanafunzi wanatembea umbali mrefu kufuata Sekondari ya Lituhi, Hali ambayo inawakwaza wanafunzi kutopenda masomo au kusababisha utoro na kushuka kiwango Cha elimu.

Amesema changamoto nyingine ni ukosefu wa mawasiliano ya mtandao wa Simu, za mikononi hivyo amewaomba wananchi kuwa wavumilivu na Serikali itahakikisha inatatua changamoto hizo.

"Serikali itahakikisha inatatua changamoto ya ukosefu wa shule ya Sekondari na mawasiliano ya mtandao wa Simu za mikononi,Kwa kuwa Ninashirikiana vema na mbunge wa Jimbo la Nyasa mhandisi Stella Manyanya kutatua changamoto hizi hivyo wanalinga muwe na subira wakati Serikali inajipanga kutatua changamoto hizi"

Awali wananchi walisema tayari wanaeneo la kujenga shule ya Sekondari na wako tayari kuchangia Ujenzi huu wa shule ya Sekondari,Kwa hiyo wameiomba Serikali kutatua changamoto hii ili kata ya Linga iwe na Maendeleo.

Aidha wameipongeza Serikali Kwa kutatua changamoto ya maji, Barabara, na mradi wa shule ya msingi muhurasi na vyoo vya shule ya msingi Ngingama.

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.