• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MRADI wa maji MkowelaTunduru kuimarisha ndoa

Imewekwa kuanzia tarehe: June 29th, 2020

SERIKALI kupitia  Mamlaka ya Maji safi vijijini RUWASA Wilaya ya Tunduru inatekeleza mradi wa maji safi ya bomba wa Mkowela Kata ya Namakambale ambao unagharimu zaidi ya sh.milioni 160.

Akizungumza mara baada ya kukagua mradi huo,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amesema ameridhishwa na mradi huo ambao amesema utaimarisha ndoa za wanawake baada ya kuwa kero kwa waume zao kutokana na kuchelewa kutembea umbali mrefu kufuata maji ya visima.

Amesema serikali ya awamu ya tano katika kuhakikisha inapunguza kero ya maji katika Mkoa wa Ruvuma imetoa zaidi ya shilingi bilioni 30 za kutekeleza miradi mbalimbali ya maji katika wilaya zote .

“Hivi sasa mtaondokana na kero ya kupampu maji kwenye visima itakuwa ukifungua koki  maji yanatoka haraka ,kwa hiyo utakuwa unatembea umbali mfupi unapata maji unarudi nyumbani’’,alisisitiza Mndeme.

Kwa upande wake Meneja wa RUWASA Wilaya ya Tunduru Primy Damas  amesema kati ya fedha ambazo zimeletwa kutekeleza mradi huo ambazo ni zaidi ya milioni 160,hadi sasa zimetumika zaidi ya shilingi milioni 43 na kwamba mradi umefikia asilimia 80 na utakapokamilika utaweza kuhudumia watu 3.000.

Amesema ujenzi wa mradi huo unahusisha ujenzi wa tanki lenye ujazo wa lita 50,000,nyumba ya mtambo,uchimbaji mitaro na ulazaji wa mabomba ya maji kwa umbali wa kilometa 3.2,ujenzi wa vituo nane vya kuchotea maji,ufungaji wa pampu na kuvuta umeme katika nyumba ya mitambo.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Juni 28,2020

 

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • BODI ya kwanza ya maji yazinduliwa Tunduru

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.