• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Majibu ya haraka |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • RSFMIS |
Ruvuma Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Ruvuma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Miundombinu
      • Maji
      • Afya
      • Menejimenti ya Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Sheria
      • Tehama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Songea
    • Wilaya ya Mbinga
    • Wilaya ya Nyasa
    • Wilaya ya Tunduru
    • Wilaya ya Nantumbo
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Madaba
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Mji
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
    • Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
    • Halmashauri ya Wilaya ya Songea
    • Halmashauri ya Manispaa ya Songea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mifugo
    • Kilimo
    • Vivutio vya Utalii
    • Madini
    • Nyaraka za uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo na Nyaraka za uwekezaji
    • Taratibu
    • Taarifa
    • jarida
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • habari
    • Matukio

MWENGE wa Uhuru Madaba wazindua miradi ya milioni 382

Imewekwa kuanzia tarehe: April 19th, 2022

KIONGOZI wa Mbio za Mwenge  wa Uhuru Kitaifa mwaka 2022 Ndugu Sahili Nyanzabara Geraruma amekugua miradi minne na kuzindua miradi minne yenye thamani ya shilingi Milioni 382.3 katika Halmashauri ya Madaba Mkoani Ruvuma.

Akizungumza katika Mbio hizo amepongeza usimamizi wa miradi hiyo na kuwataka viongozi wa Halmashauri ya Madaba kuendelea kusimamia miradi hiyo ya Serikali.

Ndugu Geraruma amekagua mradi wa kikundi cha Maarifa Mtyangimbole, mradi wa Lishe Zahanati ya Magingo, mradi wa ugawaji vyandarua Zahanati ya Magingo pamoja na ugawaji wa pikipiki kikundi cha Umoja wa Madereva Bodabada Madaba.

‘’Ndugu zangu wenye watoto chini ya umri wa miaka mitano hakikisha unazingatia sana elimu kuhusiana na mapambano dhidi ya Malaria kwa kutumia vyandarua vyenye dawa, kuhudhuria clinic pamoja na matumizi bora ya Lishe’’, amesisitiza Geraruma.

Pia amezindua madarasa mawili shule ya sekondari Lipupuma, Klabu ya wapinga rushwa shule ya sekondari Magingo, madarasa matatu na ofisi shule ya sekondari Mahanje pamoja na Anwani za Makazi na Postikodi.

‘’Pongezi kubwa ziende kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Madaba na pongezi hizo ni kwasababu ya marejesho ya fedha za maendeleo ya vijana alizozirejesha kwa wakati’’, amesema Geraruma.

Kwa upande wake Mkuu  wa Wilaya ya Songea  Mh Pololet Mgema amemshukuru kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa kwa kuukimbiza Mwenge salama na ameahidi kutekeleza maagizo yaliyotolewa.

Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Madaba ulipokelewa tar 13/04/2022 na  ulikimbizwa jumla ya kilomita 247 na umepita katika vijiji 15, Kata sita na Tarafa moja.

Imeandikwa na Bahati Nyoni

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Ruvuma 

Aprili 19 2022.

 

Matangazo

  • JARIDA la RS Ruvuma toleo la Aprili 2025 April 30, 2025
  • VIGEZO vya kupata leseni ya biashara September 30, 2025
  • FURSA za uwekezaji mkoani Ruvuma June 30, 2025
  • ORODHA ya nyumba za kulala wageni mkoani Ruvuma December 31, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MWENGE wa Uhuru waikubali miradi yote Madaba

    May 09, 2025
  • RC Ruvuma ALIVYOSHIRIKI Makabidhiano mradi wa ujenzi wa Chuo cha Uhasibu Songea

    May 08, 2025
  • SERIKALI yatenga bilioni 18.5 kujenga chuo kikuu Ruvuma

    May 08, 2025
  • MWENGE wa Uhuru kukagua,kuzindua miradi 76 Ruvuma

    May 08, 2025
  • Tazama zote

Video

HAKIKISHA unafika kanisa la Peramiho-Rais Samia
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Songea Municipal Council
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Madaba District Council
  • Nyasa District Council
  • Namtumbo Dictrict Council
  • Mbinga Town Council
  • Songea District Council

Tovuti Muhimu

  • Utumishi Portal
  • Government Portal
  • Tamisemi
  • Tanzania Revenue Authority

Waliotembelea Kijiografia

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Regional Commissioner Office

    Anuwani: 1 TUNDURU ROAD, 57180 S.L.P 74,SONGEA, RUVUMA.

    Simu: 0252602256

    Simu ya Mkononi: KERO PIGA 0800110174

    Barua Pepe: ras.ruvuma@tamisemi.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Majibu ya haraka
    • Ramani ya Mahala
    • Huduma

Copyright ©2017 Ruvuma . All rights reserved.